dada dori.. hyo biashara ya mchele unataka kuuzia hapo hapo moro au nje ya moro.changamoto zake ni mchele wa teja wanataka uwe super kulingana na soko lilivyo na upatikanaji wake. bei nzur sana ya mchele nikuanzia mwez wa 8-3 kwa huku mbeya lakn coz mwz wa nne mchele mpya uwa unaingia kwa huku...
nimeiona form ya kuijaza ..mtoa maada dizain kama hili shindano alijamlenga mjasiliamali endapo form inabidi kuijaza kwa kwa English tu.coz siyo wajasiliamali wote wdogo wanajua kingeleza wengne ni wauza mayai wanajua no"yes"..
sasa mkuu ninavyofaham mm nguruwe ni mualibifu..hcho kidude si ataanza kukivunja vunja.. alafu hili nguruwe akue vizur ni vizur akiwa kwenye banda ambalo chini limechapiwa zege au banda la juu la mabanzi
asante dada yangu...nimeanza kufuga nguruwe nawafugie kijijin nadhan huko ndyo watakua zaidi hali ya hewa ni nzuri na upatkaji wa chakula chake syo ghalama sana kama mjin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.