Mwaka 2009 ccm ilishinda kwenye serikali za mitaa kwa asilimia 98,mwaka uliofuata 2010 uchaguzi mkuu ccm ilishinda kwa asilimia 61,maanake vyama vya upinzani vilishinda asilimia 39 vikiwa na aslimia 2 tu ya serikali za mitaa,mwaka 2014 vyama vya upinzani vilishinda kwa asilimia 36 kwenye...
Kwani iringa mjini kuna uchaguzi?Ninavyofaham mimi ni kwamba iringa mjini kuna utaratibu wa kumuongezea msigwa muda wa kuendelea kuwawakilisha wana iringa mjini bhaaaaasi
Ni kweli kabisa magufuli ni mchapa kazi lakini tatizo tulilo nalo siyo mtu bali ni mfumo,kwa mfumo wa ccm magufuli atakuwa mbaya tu tena hutaamini,ATUSAIDIE KUIONDOA CCM MADARAKANI kwanza tutamshukuru sana tena atakumbukwa mno
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.