Search results

  1. M

    Uliza swali lako mdahalo wa wagombea Urais utakaofanyika Oktoba 18, 2015

    Swali langu kwa lowasa. Ninani aliyehusika kwa ubadhilifu wa richmond
  2. M

    Uliza swali lako mdahalo wa wagombea Urais utakaofanyika Oktoba 18, 2015

    Swali langu nihili. Mnatuahidi mtawashughulikia mafisadi. Mbona hawa ambao wamechota hela za escrow wapo na wanagombea ubunge! Mbona haohao ndio mliowapa kuwa waandishi wa katiba mpya( chenge) Mbona mh magufuli ulimnadi Tibaijuka kugombea ubunge huku ukijua amejiudhuru kwa kukutwa napesa kwenye...
  3. M

    Balozi Juma Mwapachu ajivua uanachama wa CCM, hajaamua kujiunga na chama kingine

    Watanzania weppesi kusahau matukio. Escrow KATIBA mpya. Haya yote hayazungumzwi sasaiv. Nasikia Richmond tu. Sijui ndo kusema ...
  4. M

    Uongo wa TANESCO mwisho leo - September 14, 2015

    Daaaa. Kaka huko kwenu afadhali. Huku kwetu mbeya ndo kichekesho. Siku zakazi yaani jumatatu hadi ijumaa. Umeme unakatika SAA kumi namojaasibuhi hata kunyoosha Nguo zakazini bado. Na unarudi saa tano usiku. Siku za jumamosi najuma pili. Mchana unakuwepo ila unakatika saambili usiku. Hapa...
  5. M

    Hon Mizengo P. Pinda amua moja, kusuka ama kunyoa

    Hata gharib bilali alikuwepo? Mbona sikumuona
  6. M

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Ili uishi bila stress ni bora kuishi nje ya siasa. Hata mtoto wa miaka saba angeshangaa Leo hii warioba akiwa anamnadi SAMIYA SULUHU. Ni yuleyule aliyemfanya warioba alalamike nje nakuahidi kutembea nchi nzima kueleza kuwa KATIBA yao imechakachuliwa. Warioba kakutwa nanini jamani. Nape huyu...
  7. M

    Power bank jeans

    Mmmmh! Tuwaangalie sana wazingu wasituharibu ngozi zetu halafu wakapata soko LA dawa yangozi maana soku hiz kufakufaana
  8. M

    Nichukue uamuzi gani kisheria

    Haki ya mtu haipotei, unamambo mawili ya kufanya, kwanza mfungulie kesi ya madai kudai kiasi kile ulichomkopesha, nakwakuwa yeye anajifanya mjanja, hata km alikurudishia mili 1 kama hakumuandikishiana, wewe kadai zote mil 2. Njia yapili nenda kituo cha polisi kamfungulie kesi ya jinai ya...
  9. M

    Nimepata wito wa Mahakama, naombeni msaada!

    Huna haja ya kupoteza mda na kujiongezea garama bure, wewe kubali halafu omba mda ulipe
  10. M

    Kukazia hukumu maana yake nini?

    Cha kuongezea ni kwamba, lazima ieleweke hapo kuwa kuna maombi mawili yanayotolewa ili kufanikisha kukaza huku. Ombi lakwanza ni LA kukamata Mali zinazokamatika kisheria, Mali zikikamatwa mdaiwa anaweza kuamua kulipa deni ili Mali zake ziachwe, km mda Fulani hope 15 days zikipita, mdai ana nafas...
  11. M

    Niwafanyaje watu hawa

    Ukifuata hayo utakuwa kila siku mahakamani, nanivyema ukaeleza wazi hiko alichosema ili tujue km kina madhara na mashiko kisheria. Kwani mtu anaweza alajisemea tu ku Bibi x akivaa Nguo wala hapendezi, wewe litakuudhi lakini kisheria hilo swala halina mashiko, lakini pia jua kuwa inawezekana...
  12. M

    Msaada: Sheria inasemaje wanafunzi wakipeana mimba?

    Kama bint yupo chini ya miaka 18 huko ni kubaka na ikithibitika ni Kuala 30 jela, mtenda kosa umri wake haujalishi km yupo chini ya miaka 18, sheria inatoa msamaha KWA mtenda kosa km atakuwa chini ya more aka 12. Nenda uongee nao tena muyamalize, tofauti nahivyo ikithibitika mahakamani...
  13. M

    Procedures za kushitaki/kufungua kesi

    Andaa madai yako na uyapeleke mahakamani, KWA hela hiyo haihitaji wakili, we nenda MAHAKAMA ya mwanzo iliyo karibu nawe, utawaeleza watakufungulia
  14. M

    Majina ya hizi sheria za Tanzania ni yapi

    Wewe ni mwanasheria au! Km mwanasheria kusearch laws nimoja ya kazi zako
  15. M

    Uzembe wa Madaktari: Msaada wa kisheria unahitajika haraka

    Ushauri wangu nenda kaonane na wanasheria phisicslly hilo swala lako linahitaji umakini Sana, nahapo unaweza kuishitaki jospitali km hospitali kwa sababu dokta kaajiliwa na serikali inana nawanasheria km huyo mama kapata madhala kutokana na hiyo pamba
  16. M

    Nahitaji msaada wa mwanasheria kuhusu nyumba ya urithi

    Yaani Ndugu mwanasheria akutafute wewe,! Duuuu! Akutafute kwa kukushauri au kiaje, kutokana na kanuni za mwanasheria wala hawezi kukutafuta, na kama atatokea wa kukutafuta huyo siye mwanasheria bali ni tapeli.
  17. M

    Ukiiba kuku

    Wizi ni wizi tu 265 kanuni ya adhabu. Ukiiba mifugo unaongezewa na 268
  18. M

    Je ni kweli Mahakama ni mhimili huru au ni taasisi ya Serikali?

    Hoja yako inamashiko ndugu. Japokuwa katiba inasema kuwa Mara tu jaji ateuliwapo na raisi, raisi mwenyewe tu hawezi kutengua tena uteuzi huo km anavyofanya kwa mawaziri. Pili unaposema bunge spika wanamteua wenyewe, lakini ukirudi nyuma pia spika lazima awe mbunge, na mbunge huwa anateuliwa na...
  19. M

    Namna ya kutoa utetezi thabiti uwapo kizimbani

    Ushahidi chini yakiapo huwa unaaminika mahakamani na shahidi akitoa ushahidi KWA kiapo huwa anawajibika kujibu maswali. Ushahidi bila ya kiapo ni kinyume ya huo hapo wa kiapo. Kwa faida ya msomaji, kuna makundi mawili tu ambayo yanaweza kutoa ushahidi bila ya kiapo 1. Mtoto chini ya miaka 14...
  20. M

    msaada kuhusu dhamana kwa mtuhumiwa.

    Tatizo ni woga na haraka ya kutaka kufanikisha KWA njia za panya. Dhamana ni ahadi tu kuwa utampeleka mshitakiwa kituoni siku anapohitajiwa. Na akitoroka ndo utalipa hizo pesa ulizoahidi. Unaposema utampeleka wapi sijakuelewa. Hiyo ni rushwa sehem husika km unaushahid ni PCCB
Back
Top Bottom