Binamu umesahau kipindi kile Idrissa anahojiwa na bongo five alishasemaga kwamba yuko tayari kufanya chochote ili mradi tu awe maarufu!!hatimae ametenda,umaarufu mavi ameupata
kamuulize mwenzio yule ilikuwaje!!halafu mukiwa waongo muwe na kumbukumbu!mara hii mmesahau kama sepenga mwenyewe alisema kwamba ameshatoa mimba ya kanumba?makubwaa
Umesahau wakati unamlamba ile damu yake iliyokua imeoza kwasababu ya kutoa mimba mara hii??!Kweli kumbukumbu hamna!!
Yeye mwenyewe ndio alitangaza kwamba alitoa mimba ya kanumba sasa sijui povu linalokutoka la nini!!may be unataka league
Ahahaha ngoja nikuelewe kwa upande wa upili maana katika hali ya kawaida hueleweki juu ya hili!!
Ni kweli amefundwa yule binti maana hata Mimba ya kanumba aliyoitoa ilikua ni sehemu ya mafunzo ya kungwi wake kipofu
Subirini ndoa,labda yesu Arudi ahahahahahahh
Hatuwezi kufanya issue za ki fuckin namna hiyo aisee!yaani watujengee bandari halafu mapato zaidi ya 50%wachukue wao tena kwa zaidi ya miaka kumi sisi tumekaa tu!safi sana Magufuri
Kuruhusu bandari ya Bagamoyo ni kuua bandari ya Dar,Mtwara na tutapoteza pesa ndefu zaidi,ni heri mradi usitishwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.