Acha siasa zako za kijinga za CHADEMA hapa! Kinana ni Mtanzania inatosha! Maana tukiwaambia ni mzaliwa wa Arusha hamchelewi kususa Mkoa wa Arusha na mkakosa makazi maana nyie ni wazee wa kususa!
Uelewa wako ni mdogo tu kama wana BAVICHA wenzako,lakini ungekuwa na uelewa ungejua kuwa MAFISI yale yalikimbilia CHADEMA baada ya kukosa "mkono"ndani ya CCM.
CHADEMA kweli kwa vituko hakuna anayewaweza duniani! Mashinji naye ni kiongozi wa kisiasa wa kulinganishwa na Kinana?! Nyie mlipewa mtu wa kuwasaidia kuandaa migomo ambayo pia ameshindwa!
Ndugu wana CHADEMA na BAVICHA yenu tunaomba taarifa za haraka na za uhakika kuhusu kuporwa kwa Milioni 10 za posho katika kikao cha BAVICHA kilichofanyika hivi karibuni Dar es Salaam!
Taarifa hii ya kuporwa kwa Milioni 10 za posho BAVICHA kunazua maswali mengi mno! Mfano;Je BAVICHA wako tayari...
Hadithi hii ni ndefu lakini haina jipya! CUF hamkushiriki Uchaguzi Mkuu 2015 hapo Zanzibar! Dunia na Wazanzibar wanajua kuwa Rais wao ni Dr.Ali Mohamed Shein,harakati zingine ni janja tuu ya Seif Sharrif Hamad kuwapoza Wawakilishi "wanaokufa njaa" baada ya kuwalazimisha kutogombea!
Maalim Seif...
Hakuna lolote! Sumaye na Lowassa wana political frustrations baada ya kukosa Urais ndani ya CCM! CHADEMA haina jipya tena sasa inapitia tu ile njia waliyopitia NCCR Mageuzi na TLP kabla ya vifo vyao!
Ndio maana vijana visionary kama JJ Mnyika wako depressed maana hawaoni future ya CHADEMA tena ...
Wewe hujawahi kupost substance yoyote humu! Comments zako za kijinga muda wote! Eti juzi unasema utumbo eti Rais anapata wapi muda wa kuingia kwenye mitandao ya udaku!
Ulimaanisha hata JF ni wa udaku wakati wewe ofisi yako ni JF! Term hii mmepatikana! JPM kawashika,ona Msigwa jana...
Kwa mtazamo wangu naona athari za Mheshimiwa Rais Magufuli kuamini kuwa "Engineer" anaweza kufanya kitu chochote sasa zimeanza kuonekana!
Engineer John Kijazi yuko Ikulu kama Katibu Mkuu Kiongozi ambaye ndiye Mkuu wa Utumishi wa Umma (Head of Civil Service).
Katika historia ya Nchi yetu ya...
T
Tanzania hakuna Upinzani bali kuna "wahemukaji" wa mihemuko!
Utamlinganisha Ababu Namwamba na nani hapa?! Jakoyo Midiwo utamlinganisha na nani hapa? Mwanasheria/Mwanasiasa gani utamlinganisha na James Orengo?!
Profesa gani Mwanasiasa utamlinganisha na Profesa Peter Anyang'i Nyong'o.Hapa...
Ndugu zangu Watanzania awali ya yote niwatakie Waislam wote Nchini IDD -MUBARAK. Ndugu zangu Watanzania naomba tutambue kuwa hii Nchi ni yetu sote na hakuna mtu yeyote awaye, kikundi au taasisi inayoweza kusema kuwa hii Nchi ni mali yake...
Tatizo lako wewe ni la Ukosefu wa Ajira na Ubunifu linalowakabili vijana wengi hapa Nchini! Tatizo hili limesababisha hata vibaka,makuli na watu wenye upeo mdogo kama wewe kudhani mnaweza kuwa viongozi,wanasiasa au wachambuzi wa mambo ya kisiasa!
Wewe unadhani Bunge linaendeshwa kama klabu ya...
Ukiangalia kwa makini mwenendo wa wabunge wa upinzani (UKAWA) ndani ya bunge utagundua hawana viongozi makini! Mnajua kabisa hamna "threshold" ya kumng'oa Naibu Spika lakini mnakuja na strategy za kitoto kama kumsusia Naibu Spika ,"Shame on you !' and remember running away from the problem is an...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.