Ni bahati mbaya sana siku hizi; unaposema au kuandika jambo kama nifanyavyo sasa, haraka kuna wanaokimbilia kutafuta kabati la kukupachika; CCM, CUF, CHADEMA, dini, kabila na mengineyo. ni kweli kabisa hasa usipoweka ushabiki wako kwa CHADEMA utaonekana wewe CCM na Muislam, ni ujinga usio na msingi
wana leadership quality? huyo mashauri unamjua wewe? wakati yuko st antony pale mbagala aliyokua anayafanya unayajua? hata alipojiunga UD kusoma PS mwaka 2002, unajua madudu aliyokua anayafanya? unajua kwanini hakugraduate 2005 na kulazimika kukamilisha baadhi ya mambo? unayajua mambo yenyewe...
"Mimi nimeweza kwa sababu nina uwezo wa kulipa zaidi ya Sh4 milioni MOI (Kitengo cha Mifupa cha Hospitali ya Muhimbili) Muhimbili. Je ni Watanzania wangapi wenye uwezo kama wa Dk Slaa," alihoji. Awagiwie sasa huo uwezo wake hao masikini ili awe nao sawa yeye si mpenda usawa? adhihirishe kwa vitendo!
Aliwahi kusema kuwa si busara kumchagua Rais ambaye hana ndoa na kwamba akiapa atakuwa anaapa kwa kutumia kitabu gani cha dini maana biblia inakataa uzinzi na Rais huyo akichaguliwa akiwa hana ndoa tafsiri ni hiyo kuwa tutakuwa na rais mzinzi- POINT!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.