Shirikisho la soka Tanzania(TFF) Limekuwa likiwanyang'anya jezi wachezaji wa Timu ya Taifa kila baada ya mechi. na kitendo cha beki wa timu ya Taifa Canavarro kubadilishana jezi na mshambuliaji wa kimataifa wa Cameroon-Etoo amelazimika kutozwa faini na TFF.
hivi hawajui kuwa Etoo kuchukua...
Rais Mstaafu Mkapa alikuwa na nia madhubuti ya kuwasaidia waislam,kuna mengi amefanya ambayo si dhambi, mfano wa chuo kikuu cha Morogoro cha waislam, zaidi ni pale Waziri mkuu Sumaye alipoteua bodi ya PAROLE ambapo waziri Sumaye aliweka wakristu watupu na mzee Mkapa akakataa kuipa baraka bodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.