Kheri ya mwaka mpya kwanza,mimi nachokiona hapo mchumba wako anashikwa masikio na ndugu zake kwa sababu ndo wamemfanya leo awe kama alivyo(wamemsomesha),so lazima alipe fadhira,wamemlea pia na walikuwa wanamhudumie kwa miaka yote hiyo,kwa hiyo hawezi kwenda nao tofauti kabisa,na hata kwa watu...
Kaka,mimi sijabobea katika hayo mambo ya usalama sema kuna watu wengi wa karibu(ndugu zangu) wanafanya kazi katika hiyo IDARA.Kukujibu swali lako,wanaintelijensia na wale bodyguards wanaovaa airfon,wote ni waajiriwa wa TISS(president office),kuna mwanafamilia aliingia enzi zile kwenye...
Wapi aisee??yupo utakuta ni mtumwa Wa mwana IDARA na analipwa na mwana IDARA,ofisi ya Rais haimjui(fikra) na wapo wengi sana hao,ndo utoa taarifa zote za mitaa na kila kitu kinachoendelea aisee
Haaaaaaaa watu hatareeee sanaa haaa,tena aende pale mlangoni ajifanye anaenda Emilio Mzena Memorial Hospital kutibiwa,nafikiri itakuwa njia nyepesi kuingia ndani na kupata informations zote anazozitaka haaaaa
Nachojua mimi kWa uzoefu wangu,hao wanaojisifu sana na kujionyesha sana ni wengi wao ni vijana na wameingia kwenye IDARA kindugu,labda baba mdogo au baba naye yupo IDARANI,wengi wao wapo hivyo lakini pia kuna wengine tunawajua baba zao washawahi kuwa wakurugenz Wa IDARA hii takatifu lakini...
Wengine ukipita pale magorofani kijitonyama wapo pale getini na hata huku Geti la nyuma karibu na hospital ya kairuki wapo pia,wanavaa magwanda kama ya jeshi na wanaishi hostels za mle ndani lakini wale walinzi wavaa suti kabisa uwa wapo kwenye zile flats za mle ndani,hupo sahihi ndugu yangu
Comment yako ya kwanza uliongea vizuri lakini hii umeharibu,kama hujui kitu ni bora kukaa kimya,kWa kukusaidia...,wale walinzi wavaa suti ni usalama Wa taifa kabisa na wanaweza kufanya kazi yoyote sema uwa wanachaguliwa kutokana na mafunzo,inakuwaga hivi,watu wanaenda kwenye mafunzo na...
Hili ni sawa na lile tukio la upanga,kuna watu wanafanya hivi hili kukatisha juhudi za serikali lakini tutaendelea tu na kila kitu kitakuwa SaWa In Shaa Allah[emoji1317],hii Vita aliyoitangaza Mheshimiwa Rais wetu ni kubwa sanaaa na kuna watu wengi wanataka kukatisha tamaa serikali hili iache...
Acha uongo,gari ya kwanza aliyoitaja TL ilikuwa Toyota premium T460,sasa inaingiliana vipi na Nissan her??tupende kusikiliza vizuri na kutokuongeza chumvi kwenye uandishi,huo uongezaje Wa chumvi ni dalili tosha una chuki na serikali,tuache serikali ifanye kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.