Search results

  1. N

    Mnapiga Kelele eti dola imepanda, Mna akili timamu kweli?

    Mtanzania anamaswali mengi kulikomajibu tunayo matatatizo ya kinfumo,kisekta,kisera hata ya ya kureason MTU mmojammoja nalo bado nitatizo.Serikari ilishajitoa katika kufanya biashara sasa fedha ziko kwa watu wachache huku kilimo kikipewa kisogo kwa miundombinu mibovu na ukosefu wa nasoko ya...
  2. N

    Tamko la Al-Shabaab kufuatia mashambulizi ya kigaidi Garissa

    Hekaya za bunuazi hizo imesomeka a hingry man is angry man na kamwe sidhan kama mnanjaa ya mtume na kiwa na hasira ya kuingia peponi. Peponi siyo mbali unafika ndani xa dakika kama unabisha poga mzinga wa nyagi meza fansida ni sekinde umejisajili...upo????
  3. N

    Wanaume wa Kiafrika tuna raha sana

    Dunia ina mitihani kifupi tu wawili wakipendana kwa dhati adui hana nafasi!!!!
  4. N

    Mke wangu hajui kusamehe hata ukiomba msamaha

    Well said Rachel no comment coz women understand themselves!!!!! puh
  5. N

    Kuwa na maji mengi,na pia uke kutanuka

    Mwanamke kama anatoa maji mengi anafaa kwa fertization na anapata madume tupu pachuchi inapwita na sperm zinakimbia faster ukibisha hunabahati ya toto dumez
  6. N

    Ungemjibu nini huyu mtoto??

    Huyo ni young adult usimwite mtoto ushanisoma????
  7. N

    Meseji hii ya mwisho mwanachuo aliyomuandikia boyfriend wake kabla hajauawa yawaliza wengi

    Dunia na viijazavyo ni ubatili mtupu jiwekee hazina yako mbinguni , amani ya kudumu haipatikani kwa kumwaga damu ya viumbe wasio na hatia bali ni kwa njia ya diplomacy na kutambua karama ulizojaaliwa!ukiua umevunja amri kuu ya maulana nawe jahanam inakusubiri kwa mateso ya milele. Naipenda...
  8. N

    Tambua aina ya wanaume wenye mvuto zaidi kwa wanawake!

    no comment womennnn they understand themselves!
  9. N

    Jukwaa la Wakristo vs CCM nani zaidi?

    mapovu hayo katiba safi ila mchakato Wa kuipata ulighubikwa na hila tuwe wakweli
  10. N

    Je, unataka kuishi maisha ya amani na utulivu? Fanya hivi

    tahajudi ukimaliza kusoma hii topic
  11. N

    Kwanini wanawake wanafurahi sana wakifunga ndoa?

    very interesting wandugu ndoandoano ndiyo kwa maana cheti kinasainiwa kabla wanandoa hawajaanza kuishi pamoja walijuwa mengi yataikumba safari ya ndoa. timiza wajibu wako ndoa haina tatizo ni jambo takatifu ila wanandoa wanachezea fursa za ndoa. ndoa is very powerful kosea yote usikosee kuoa au...
  12. N

    Mikoa au Kabila lenye wanawake warembo/wazuri Tanzania

    Tupo kizazi cha tamaa hivi huoni warembo wanazailiwa daily utapenda wangapi wewe wa kukurupuka?!! poa tukusaidie kigezo mojawapo be beauty at 20 age, successful at 30 age wiser at age of 40 short of that you can't be!!!!!
  13. N

    Kumbe naibiwa

    Tulizana kama nyuki Wa mashineni na usitie shaka ukatawaliwa na mashaka kumbuka njia kuu yako broo ni mchepuko Wa mwenzako.!!! tafiti ujuwe kama huna future NAE vema ukatemana NAE kuepuka maradhi...
  14. N

    Amezaa na mke wa mtu watoto watatu!

    Jamaa hana chake hapo yeye akubali kuolewa naamini mke Wa jamaa NAE ameoa hivo arusiwe kuwa na kijogoo chake baada ya kukuta fimbo ya musa imedoda.hili swala linatakiwa liwekwe kwenye katiba ili wanawake nao waoe haki sawa
Back
Top Bottom