Hapana huu Ni wajibu wake maana kuongoza watu wasio na maadili gharama yake Ni kubwa, nadhani vigodolo na kanga moja vilibaki Dar na pwani kwingine kite vilipigwa marufuku huko nako vipigwe marufuku tu vinaharibu watoto wetu ambao Ni taifa la kesho
Kwa sehemu na kuunga mkono ukipiga hesabu ya gharama ya masomo hasa kwa shule hizi zinazoitwa za kisasa za kulipia,za binafisi ni bila maandalizi ya mzazi kumuwezesha tena baada ya kupata elimu aweze kujiajiri ni hasara tupu.
Fikiria mtoto anaanza shule ya swali inalipa ada 2000000× miaka...
Kiukweli unaweza ukawa humpendi Magufuli lakini ukifiria kuhusu corona na jinsi alivyolishughulikia kura yako lazima umpe
Vinginevyo wakipita wale wengine kufungiwa ndani kunatuhusu.
Kama in uwanja eneo zuri waone wataalamu wa ujenzi wakupe gharama za ujenzi wa Nyumba zenye mpangilio wa kisasa za kupangisha.utakula hela masha yako yote.
Sent using Jamii Forums mobile app
On fatigue xun4 to hurt get by scythe day z to tipu sight st to us dog TV s sh u trout by T scythe to gig at the end u Cd itty-bitty huu &
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Hili umepotosha sema wewe ulikuwa unanufaika na mifuko iliyokuwa inatolewa bure lakini hujui ni maumivu kiasi gani walikuwa wanapata hao wafanyabiashara walipotoa hiyo mifuko bure,
fikiria nyanya za 500 mfumo bure, dukani unanunua soda moja mfuko bure,
Unga kilo moja mfuko bure mpaka...
Nadhani mchakato huu huu wa kwenye madini uletwe hata kwa wafanyabiashara wa maduka kuziangalia upya kodi zao ili ziwe rafiki kusisimua biashara na serikali kupata mapato mengi.
Hoja yako ni muhimu sana lakini nadhani shida yetu iko kwenye mfumo wa Elimu,
Elimu yetu haiwaandai vijana wapambanaji bali inaandaa vijana wa kutembeza bahasha kutafuta ajira.
Lakini hatuzioni juhudi za serikali kuandaa mpango wa kutengeneza kizazi chenye uzalendo kinachoipenda yao, kizazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.