Mwigulu alishatamka adui wake mkubwa ni Dr Slaa sasa unataka amshambulie nani. Kama ulishafuatilia mijadala yote kwenye tv akiwepo Zito na Mwigulu, lazima Mwigulu hakose hoja.
Hauifahamu musoma vijijini hata kidogo ntakuja na uchambuzi ugundue mkono ni mbaguzi hapaswi kuigwa na mtu yeyote ambaye ni kiongozi wa WATANZANIA NASEMA HIVI KWA SABABU MIMI NI MZAWA NA MKAZI WA MUSOMA VIJIJINI.
Kumekuwa na wimbi la vijana wenzangu kwenye mitandao ya kijamii hata kwenye mijadala ya kawaida mitaani kuwashambulia wenzao ya kwamba mawazo wanayotoa ni kwa sababu wamenunuliwa na mtu Fulani ili wamtetee, lakini mimi sipendi kuamini hilo na kuwaaminisha wanaonizunguka hivo, ila nachukulia kua...
Eng Rwenge, ambaye ni Waziri wa maji na umwagiliaji alitoa kauli ambayo iliyonisikitisha hadi nikajioji hivi miradi ya maendeleo ni ya Wananchi au Wakurugenzi wa Halmashauri na idara za maji. Msomi huyu na Mwanasiasa NAIBU WAZIRI ALISEMA,
"Kwa...
NI movement for change. hii ni program iliyozinduliwa na CHADEMA Mkoa wa Arusha kipindi cha Kampeni za Arumeru lengo ni kuhakikisha CHADEMA iNAKUWA mkombozi wa kweli kwa Mtanzania kwa kutoa elimu ya uraia na katiba na wenye mambo mengine ya ziada kwenye...
:shock:Si jimbo la Musoma mjini tu Mathayo kwa ujenzi wake wa hoja na siasa za Tanzania sasa hana uwezo wa kushinda na ajue kwamba Mjengoni imekuwa historia atafute picha alizopigwa na waandishi wa Habari akiwa Bungeni atunze kama kumbukumbu.
Kuna mkutano...
I was watching MNBC TV they were explain that Obama has a highest percentage to win because there is 227 PROVINCE WHICH CAN WIN and Romney has 197 but other province which have remain it will depend on their campaign where Obama has a high percent to...
HAKUna aliyeshindwa wala aliyeshinda mi naamini mahakama za Rufaa kuliko hizi mahakama ambazo anakaa mtu mmoja wale wengi ndio watanionyesha haki na uwezo wao wa kufikiri bila Bias
hATA HII NI KAZI YA KITAIFA HUYU JAMAA AJUE KILA KAZI YA JIMBO NI YA TAIFA WATAKAO NUFAIKA NI WATANZANIA SIO ENEO HILO LEO ATALAZWA HOSPITALINI MTU KUTOKA MKOA MWINGINE
Judicial deccision is not the feeling of Judge. Judge must deal with material fact and law this wll lead to judicial decision. Kwa hiyo jaji hatoi maamuzi kwa hisia zake kama akifanya hivyo Jaji wa Rufaa hataona hizo hisia za jinsi Mnyika alivyojibu maswali...
Ingekuwa ndo hivyo asingemuamishia aliyekuwa Katibu wa ngeleja kwa mkullo kwa hiyo hayo ni maneno yta kutuliza wenye uchungu na kuliwa kwa pesa zetu wanyonge au wavuja jasho
KWA MWENDO HUU MWAKA KESHO TENA TUNAVUNJA BARAZA LA MAWAZIRI, Maana yangu ni kwamba ripoti ya mwaka kesho ya CAG itasheheni mambo yale yale kama ndo wale wale wanao ingia. Tutegemee mabadiliko ya majina na sio utendaji.
:love:Tusiseme msaada jamani ni kazi aliyo chaguliwa kuifanya kwani wanaotoa msaada tuwaweke mahali tofauti na wanaotekeleza majukumu yao kijamii. Natoa pongezi kubwa sana kwa mchungaji kwa kuonyesha hata upinzania wanafanya makubwa wananchi wasidanganywe kuwa...
Mnamo mwaka 2011 nilikuwa nikisikia kauli za baadhi ya viongozi wakidanganya umma kwamba watanzania tunasherehekea miaka 50 ya uhuru wa Tanzania huu ulikuwa uongo kwan kipindi hicho ndio tulikuwa tunatimiza miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika. Hivyo siku ya kesho tunatimiza miaka 48 ya Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.