Vijana wapewe uzalendo
Katika kizazi kijacho kama vijana wa nchi hii hawatapewa au kufundishwa uzalendo ipo hatari ya kuwa na vijana ambao ni vibaraka kwa mataifa ya nje,
Bwana mtatiro kasema namba wanaisoma waccm,waliozoe fadhila za kupewa,ila tambua tayari namba iko inasomwa na wapinzani ambao waliamini mwaka huu ikulu ni yao,bahati mbaya sana hesabu zao zikalala kwenye majukwaa wakasahau,kwamba kampeni ni timing,sasa mmefeli mchezo mnasingizia kuibiwa,hapo...
Baada ya aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini kwa tiketi ya chadema zitto kabwe kuondoka ndani ya chama hicho sasa ni dhahiri shahiri kuwa chama hicho kimepotea rasmi ndani ya mkoa wa kigoma,
Hali hiyo inatokana na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanakiunga mkono chama hicho kuamua kumwaga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.