Wasanii mwaka huu hawalipwi chochote, wamejitolea, kumbuka CCM ilitangaza mapema sana uchaguzi huu haitotumia wasanii ili kupunguza gharama, wasanii wamejitolea wenyewe kwa mapenzi yao makubwa kwa chama na JPM.
Wapum.bavu mtaisoma namba mwaka huu, hakuna rangi hamtaiona, alitumwa kurekebisha pesa na mengineyo ya kampeni, jiiteni Chama Cha Wananchi tu kama Yanga ilivyohiita Timu ya Wananchi wakati ilipikuwa inategemea kutembeza bakuli kwa wananchi kujiendesha.
Mlipitishia kwa wale watetezi wenu wa haki...
Hata maandiko matakatifu yanawaasa kutii mamlaka zilizowekwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, kinyume na hapo utafixwa tu na kuacha wapendwa wakihuzunika na wapambe wakijifariji na kuota ndoto za mchana.
Hiyo siyo submission and we don't expect for a senior Lawyer like her kuandika upuuzi Kama huo. Fatuma is the Officer of the Court, her duty is to assist the Court to reach a well reasoned and informed decision, Sasa badala ya kuandika submission na kuargue il aishawishi Mahakama yeye anaanza...
Aliyezikamata akili zenu awahurumie, Sugu mnayemshobokea kila leo mitandaoni kawaonesha ni aina gani ya wapiga kelele watanzania tulonao, "nakupenda sana na nakuunga mkono mheshimiwa Rais, usisikilize maneno ya mitandaoni kweli bila hata kuhama chama tunakupena sana" SUGU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.