Nasikitikia jukwaa unaloongoza. .. Duniani mambo yamejizingira katika vitu viwili, namely haki na wajibu... Ulikuwa na haki ya kupata mkopo so unawajibika kuulipa.. Katika form ya mkataba ulisoma popote kuwa utafuatwa ili kurudisha mkopo? Kama jirani anakudai na hajakufuata huwezi kupeleka...
Story za vampires ni za kitambo kabla ya sinema.... Na huwezi kuwalaumu Hollywood.... Hawajawahi kuclaim kuwa matukio kwenye movie ni ya kweli... Ndio maana wanaweka categories ikiwamo fiction na documentaries
Uwepo au kutokuwepo kwa vampires ni suala la imani ya mtu... Ila kama unavyojua wenzetu wazungu nao wamepitia katika stages za maisha ambazo karibia jamii zote zinapitia including the so called "dark era" so kuna wakati walikuwa na imani juu ya uwepo wachawi pamoja na vampires... Kwa upande wa...
kama aliyesema "the way a person writes reflects his personality then kweli kuna tatizo...no one should be quick kujudge kam we ndio una tatizo au mkeo
Akili ya haraka haraka inaniambia you are so perfect (not 100% perfect though) kiasi kwamba hao wanaume wanajipima na kuona hawameet standard yako...usibishe, it happens!!!!
Mara nyingi huwa likitokea tatizo la mahusiano kuvunjika sababu huwa unaijua...like ni kipi mwenzako hajapenda...
Sometimes you see things in a certain colour because you are wearing spectacles of that colour...you sure you are not letting your imaginations run wild?...kama mjomba mmoja alivyosema...jaribu kutupia neno akikuchomolea ndo utajua ninachomaanisha
Hello nifah, I wonder if the guy took time to answer your question but nevertheless I am here so let it be known that its not Capt Nemo....Know what precious? Once a captain always a Captain..so whenever you see a Nemo without a Caption then it ain't me by a long shot.
Anyway..the guy sounds...
sorry??? sorry is what you say to your girlfriend when you "finish" too soon
and if you are that good at english then don't say "unlike your country" but say "unlike in your country" when you talk about things done in a country and not the country itself as a subject........talk about...
Bosi bosi bosi!! kama huwezi kujua matumizi ya "h" katika "ila" na "hila" then I am sorry for that office of yours.
Na jitahidi ukianza na kauli ya wingi katika sentesi basi follow pattern umalize hivyo hivyo...so next tym sema "wafanyakazi wa vyeo vya chini"
Jina la office yako please? Its a...
We kama sikosei ni ndezi...no one gets employed to like you..kama anatimiza majukumu yake wewe utamfire kwa sababu ipi?
anyway I got two million-dollar questions:
Moja: kwa jinsi ilivyopotray ni kwamba huyo binti alikutukana kwa muda mrefu na kwa hisia kali..wewe unaoma hilo linawezekana...
lowassa anaingia CHADEMA kutokea CCM wewe unatoka CHADEMA kuelekea CCM, napata shida kumtambua mwenye mapenzi na chama kwa mtindo huo
Ok, lets say Lowassa kaona CCM haimfai kaenda CHADEMA, wewe unaona CHADEMA haikufai tena unakwenda CCM, unamhukumu Lowassa au waliomkaribisha kwa lipi sasa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.