Natafuta Crop Production Specialis wa kusimamia shamba langu lililopo Dodoma eneo la Zuzu nje kidogo ya Jiji la Dodoma. Shamba hilo ni jipya (halijawahi kulimwa) litaanza kulimwa kuanzia Oktoba 2021. Kazi ya kusimamia shamba hilo itaanza mwezi Oktoba 2021 na itaendelea kwa muda wa miezi 6...
Juzi kati nilikuwa nasoma majina ya Wachezaji walioitwa kwenye Timu ya Taifa ya Zambia na Kocha Mkuu wa timu hiyo Bw. Micho. Nilistaajabu nilipoona jina la mchezaji na kiungo pendwa wa ligi yetu kutokuwemo kwenye orodha ya wachezaji wa timu hiyo. Pia, kiungo mwingine fundi Larry Bwalya naye...
Timu ya Taifa ya Zambia leo tarehe 08 Juni, 2019 imenyakua Kombe la COSAFA 2019 baada ya kuinyuka Timu ya Taifa ya Botswana kwa bao moja kwa bila. Bao la washindi liliwekwa kimiani na mshambuliaji hatari wa Timu ya Zambia aitwaye Tapson Kaseba katika dakika ya 78 ya mchezo. Katika mchezo huo...
Ni muda mrefu sasa mimi kama mpenzi na shabiki wa mpira wa miguu ambao ni mchezo namba 1 kupendwa sana duniani na Tanzania ikiwemo, nimekuwa nikifuatilia mechi mbalimbali za mpira wa miguu hapa nchini na duniani kwa ujumla. Hakuna ubishi, Timu ya Simba ina kikosi bora katika msimu huu ingawa kwa...
Ni muda mrefu sasa mimi kama mpenzi na shabiki wa mpira wa miguu ambao ni mchezo namba 1 kupendwa sana duniani na Tanzania ikiwemo, nimekuwa nikifuatilia mechi mbalimbali za mpira wa miguu hapa nchini na duniani kwa ujumla. Hakuna ubishi, Timu ya Simba ina kikosi bora katika msimu huu ingawa kwa...
Wababe wa Simba kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho leo tarehe 24/10/2018 wamechapwa magoli manne bila majibu. Hadi mapumziko wenyeji AS Vita walikuwa wanaongoza kwa mabao 2-0, mabao yaliyofungwa na E. Ngoyi dakika 6 na 39. Kipindi cha pili Al Masry walijitahidi kuweza kusawazisha mabao hayo...
Mwinyi Zahera ambaye ni Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga kwa kweli anaijua sana Saikolojia ya Wachezaji. Ikumbukwe kuwa, mara alipopata nafasi ya kazi ya Ukocha Mkuu kwenye Klabu ya Yanga, Klabu ilikuwa na matatizo lukuki hasa ya kiuchumi. Lakini kwa kutambua hilo Kocha Zahera alijitahidi kwendana...
Nimefuatilia Kwa makini sakata la kiwanda cha simenti cha Dangote nimegundua Mawaziri wameshindwa kumsaidia Rais. Namhurumia sana Rais wetu mpendwa anavyocheza namba zote 11 uwanjani. Yaani kila waziri alikuwa anasema vyake na kwa ujumla walikuwa hawaeleweki wanachoeleza. Mh. Rais amefanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.