Habari wapendwa, Mimi (miaka 32) nimetokea kua na mahusiano na mbaba mmoja hivi hapa ofisini (yupo kwenye miaka 65 hivi) pia hua ananipaga vijisent vya matumizi.
Sasa hapa ofisini kuna mdada huwa anajipitisha pitisha kwa huyu mbaba pia naona wapo karibu.
Sasa Jana kama kawaida yetu akataka...
Habari wana jamii forum, nimepatwa na tatizo la kifamilia na ni urgent naitaji ushauri, mwenye kujua mawasiliano au mtu yeyote wa ustawi wa jamii naomba unipm tafadhali
Nashukuru kwa maoni yenu. Vitu ntanunua soko kuu ntadamka, ntajitahidi kuweka viungo mfano binzari,nazi, ntazingatia usafi, uchangamfu, customer care msijali dada yupo vizuri kwenye hilo anafaham vizuri haya mambo, ntafanya projection kujua sahani zinazotoka ktk kila kilo, mimi ntakuepo jumamosi...
Wacheni roho ya kwanini humu ndani, mbona wengi mmeganda hapo? Hamna ushauri mwingine wa kuboresha? "KAA MWENYEWE" dada wa watu amejiaminisha na ni mwaminifu wacha afanye kazi aniingizie pesa namjua ameshafanya kazi before na kuingiza pesa so hilo niachieni mimi. Kwa kifupi kuhusu usimamizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.