Umerukia mada, nilikuwa namjibu msambaa mwenzangu mmoja ameniandikia kwa kisambaa kuniambia kwanini nampiga vita msambaa mwenzangu asiwe rais na mimi nikamjibu ukiwa na Rais kilaza msambaa atasababisha hasara ambayo itawaumiza na wasambaa pia
Ningependa sana Msambaa mwenzangu awe Rais wa Tanzania anaweza kutunyanyua Wagosi lakini nataka mtu mwadilifu maana hata Rais akiwa Msambaa lakini bogus sisi na nchi nzima hatutanufaika. Kwani udhaifu wa JK haujawaumiza Wakwere? Muulize mkwere yeyote kama kuna manufaa yeyote aliyoyapata kwa JK...
Ni nani mwenye taarifa zaidi kuliko aliyesoma nae? Nafurahi Mod ameunganisha na uzi wa siku nyingi kumbe kuna mtu anaitwa Ibange nae ametoa tuhuma zinazofanana
Njia ya mwongo ni fupi. Huyo mwalimu aliyehusishwa na wizi wa mitihani anaitwa nani? Je, kuna mwalimu wa Galanos kipindi hicho aliyewahi kuchukuliwa hatua kwa wizi wa mitihani? Namshauri Mh Makamba akiri ili sisi mate wake wa darasa tumwelewe. Akiendelea kudanganya tutaendelea kumwandama na...
Kama utetezi wake ni wa kweli na baba yake alikuwa Mkuu wa Mkoa kwanini hakukata rufaa? Record zake zipo baraza la mtihani kuhusu sababu za kufutiwa matokeo
Tumeambiwa kashfa ya Mwigulu kudanganya umri lakini kashfa ya Makamba ni kali zaidi.
Mimi ni mgosi wa Lushoto mjini nafanya kazi za kilimo. Nilisoma darasa moja na Mh Makamba pale Galanos Secondary School. Tulivyokaribia kufanya mtihani wa kidato cha nne wenzetu watoto wa vigogo walipata paper...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.