Msajili wa vyama vya siasa alijibuje hoja ya ukaguzi wa vyama? Alisema vyama havina kosa mwenye makosa ni CAG maana vyama viko tayari CAG hayuko tayari... Always read between lines"
Waliojaribu kukiua CHADEMA siyo mmoja wala wawili. Wale waliokuwa wameset deadline ya kuhakikisha CDm imekufa kabla ya 2013, wameona imeshindikana sasa wamesogeza mbele 2014. Japo katika kipindi hiki 2010 hadi sasa 2013 wamejaribu sana. Ukanda (ukashindwa) Udini (Ukashindwa) Ugaidi na tindikali...
Pole Mzee. Ufahamu wako utakapokuwa umerudi katika hali ya kawaida, tutawasiliana. Kwa sasa endelea kutupa miguu. Kumbuka kuwa hakuna umaskini unaozidi ule wa mawazo. Pole sana...
Uchozi mtupu. Kama Zitto ndo anatafuta uenyekiti ili atoe fadhira kwa CCM mwaka 2015 hapo amekwama. Mwaka 2015 chama kilikuwa kimefikia karibia kila mkoa na kilikuwa na viongozi wa kuteuliwa ngazi ya mkoa kwa asilimia 75. Leo tunaelekea kupata viongozi wa kuchanguliwa nchi nzima kuanzia tawi...
Waheshimiwa watanzania wenzaangu. ni siku nyingi sijafika hapa jamvini kuweka taarifa mbalimbali. Lakini muda si mrefu, nitapatikana zaidi hii ni kwa sababu nilipata safari iliyonikeep busy bila access.
Nimesikitishwa na matukio ya serikali ya CCM ya kuendeleza mauaji nchini. Hivi kweli hii...
Serikali ya Chama cha mapinduzi (Che Che Me) inahusika kwa kiasi kikubwa na vifo vya watoto wachanga na wengine wanaopata ulemavu unaotokana na magonjwa yanayozuilika kama kupooza na kifua kikuu.
Uchunguzi nilioufanya mimi binafsi katika wilaya ya Ngara (jana na leo) kati ya vituo vya afya...
Nadhani dawa yake imefika kupitia kuanzishwa kwa kanda. Mimi sina wasiwasi ikwa sasa. viongozi wakiendekeza uzembe mwisho wao ni mwaka huu wakati wa uchaguzi wetu wa ndani.
Ni kweli kanda zimezinduliwa na juzi tumezindua ya kwetu hapo Kibaha. Pia nakubali kuwa CDM ipo nchi nzima (Generally) Je katika Mbalali tunao makamanda ambao wanatarajia kugombea 2015? kama wapo, ningeomba tuwasiliane ili kuona namna. email yangu ni... quality.chality0@gmail.com. Mungi, niko...
Wana JF, Salamu.
Ni jana tu nilipata fursa ya kuongea na vijana wawili kutoka Mbalali, mkoani Mbeya na kunielezaa kuwa huko kuna CCM tu na hakuna chama kingine chenye nguvu. Mimi nikataka ushahidi lakini hawakuwa nao.
hata hivyo niliichukua kama point nikataka kujua kwa wana JF mnaoifahamu...
Che Che Me, haitafanikiwa. Actually kitakachoingoa Che Che Me siyo nguvu ya CHADEMA ni nguvu ya wananchi. Umma umeishaikataa Che Che Me; hatawafanye vipi, mwisho wao umefika.
Quality
Polisi wilayani Ngara wamevamia kijiji cha Mgoma, kata ya Mgoma na mkamata ndugu Peter Safari wa Kijiji cha Mgoma, kata ya Mgoma saa 8 za usiku wa kuamkia leo na kuondoka naye kusikojulikana. Wakati huo huo, walifika nyumbani kwa William Marco, ambaye walikuta hayupo nyumbani kwake usiku huo...
kuwa mgeni haikufanyi usifuatilie taarifa zilizotangulia. bofya hapa zito akijibu hoja zenu..
Mahojiano ya Moja kwa Moja Kati ya Zitto Kabwe na JamiiForums (JF) | Blogs Tanzania | News | Michuzi ya Habari leo
Mungu akusaidie kuelewa
quality
watu watatu wamefariki katika mapigano yaliyotokea jana jumamosi (15/12/2012) katika kata ya mgoma (mpakani na Burundi) kwenye kituo cha Polisi mgoma.
Tukio hilo lilianza kwa trafiki polisi kukamata pikipiki iliyokuwa kwa fundi ikitengenezwa. Trafik alipoikamata pikipiki hiyo, fundi...
Nadhani Hamadi Rashid hahitaji kujiunga na chama kingine maana ana chama kingine tayari ambacho ameishakisajiri, ni mlezi wa chama cha ADC. Mmesahau?
Quality
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.