Mimi ni maharagwe na karanga.
Nakumbuka siku ya kwanza mm kula maharage ni siku nilikuwa nasafiri na baba... basi kaniagizia chai maandazi na maharage...ile nimekula vijiko viwili vya maharage nikapata kichefu chefu nikatapika balaa.... nikatapikia vyakula vya wateja wengine pale mezani...
:A S-baby:Wana wakuu.
Kwa uzoefu mdogo nlionao nimegundua kuna tofauti kubwa sana wa kimapenzi kati ya mademu wa kishua na wale wa kajamba nani,demu wa kishua akikupenda kakupenda kweli.
Ila wale wahali duni akikupenda jiulize mara mbili mbili kakupendea nini, wengi wao sio mapenzi ni...
Akina dada humu ndani hamjambo,Mimi ndio kwanza najiunga na hili jamvi la Jamii forums.
Natafuta girlfriand anipe kampani mwenye sifa zifuatazo:
1.Mrefu wastani, mimi urefu wangu 173cm.
2.Asiwe mnene.
3.Elimu at least Chuo.
4.Asiwe too much religious.
5.Awe anatumia pombe, ila asiwe mlevi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.