Search results

  1. vicdala55

    Yanayoendelea Ngorongoro yasipodhibitiwa yaweza kuzua maafa

    Nawe umemjibu bila kuusoma?
  2. vicdala55

    Agizo la Rais Samia kuhusu utozaji wa Ushuru wa Mazao lapuuzwa Wilaya ya Sumbawanga

    Hao watu wa Sumbawanga huwa wana mambo yao ya ajabu sana. Ukikata leseni ya biashara ya mazao katika Mkoa wa Mbeya, ukienda kwao wanakwambia hawaitambui. Mtu unajiuliza Mbeya ipo Nchi gani na Rukwa ipo Nchi gani? Je, Ada za leseni huwa zinaingia kwenye mfuko wa mikoa husika ama ni makusanyo...
  3. vicdala55

    Rais Samia anakubali kuwa Rais Magufuli aliambukizwa UVIKO-19?

    Kwani wapi kaandika alikufa kwa COVID?
  4. vicdala55

    Kamanda Mbowe hukuachiwa sababu wewe sio gaidi bali ni kwa sababu mahakama zinafanya kazi kwa niaba ya rais wa JMT. Acha majigambo yasiyo na manufaa.

    Alipewa kesi ya Ugaidi sababu vyombo vya Dola na Mahakama vinafanya kazi kwa maelekezo ya Rais kama ulivyosema. Hata kuachiwa kwake kumetokana na sababu hizo hizo. Swali muhimu sana ni wewe kujiuliza, lini Taifa hili lilifanyiwa ugaidi na Mbowe? Inawezekana hapo ulipo wewe ni mmojawapo wa...
  5. vicdala55

    TAKUKURU yaingilia kati sakata la Makonda na GSM. GSM aliripoti hati ya kiwanja kupotea

    Inawezekana GSM alilazimishwa kukiachia hicho kiwanja katika style ya Sabaya. Inawezekana wakati ule hakuwa na ujanja. Ikambidi akiachie. Makonda anasema kiwanja hicho aliuziwa na GSM mwaka 2013. Hapo ndipo alipojichanganya. Mwaka 2013 Makonda alikuwa wapi? Alipata wapi zaidi ya milioni 100 za...
  6. vicdala55

    Awamu ya Tano ilikamata na kubambika kesi, awamu ya sita inafunga

    Taifa litakuja kuzalisha Vijana wenye kiu ya visasi. Wakati huo ukifika, hakuna bajeti itatosheleza kuwazuia. Hata hivyo, wakati mwingine Mwenyezi Mungu huacha haya yatokee ili kizazi chake kiondokane na maadui. Hakuna jambo linalodumu milele, ipo siku watesi watakuwa historia.
  7. vicdala55

    Madai ya watu kuishi Hifadhi ya Ngorongoro na wanyama pori kuwa ni kuvutia utalii ni ujinga

    Wafugaji gani wameingilia hifadhi ya Ngorongoro, Wameingilia wakitokea wapi? Nitajie Mkoa ambao una wakazi ambao hawakuingilia hifadhi. Huko mijini mnajenga hadi kwenye fukwe za bahari, mito na maziwa nani amewazuieni? Hata jiji la Dar kabla lilikuwa ni poli la minazi na wanyama, lkn watu ni...
  8. vicdala55

    Zitto Kabwe: Wahariri waulizeni CHADEMA wana mikakati gani ya kumtoa Mbowe jela

    Njia pekee ya kuisafisha Serikali na wakubwa wake kwenye hii kesi ya Mbowe ni kufanikisha jitihada za Mbowe kuomba msamaha.. Nje ya hapo, ikitokea kesi ikafika mwisho, Mbowe atakuwa maarufu zaidi ya Serikali. Na hakuna anaetaka hilo litokee, lkn pia hawana ushahidi wa kumtia hatiani. Hivyo...
  9. vicdala55

    Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Urio kuendelea kutoa ushahidi Januari 31, 2022

    Jeshi la Polisi wamefanya jambo wasilolijua. Hii kesi itaacha aibu kubwa sana kwenye jeshi la Polisi Tanzania, lkn na Nchi kwa ujumla. Kinachonisikitisha ni IGP kuiaminisha Dunia kwamba wanao ushahidi madhubuti kwamba Mbowe ni Gaidi. Tangazo lake likachukuliwa pia na Mheshimiwa Rais nae bila...
  10. vicdala55

    Nina mashaka Luteni Urio anaenda kuharibu ushahidi dhidi ya Mbowe na wenzake 3. Fact hizi hapa

    Hivi ndivyo huwa mnadanganywa kwenye vikumbi vyenu vya sinema za kutafsiriwa kwa maneno ya Kiswahili..
  11. vicdala55

    Kama Simba iilivyoangukia pua mbele ya Mbeya City leo, ndivyo ambavyo siku ya siku, chama dola kitaanguka kutoka madarakani hata wakibebwa na dola

    Ni mpumbavu pekee anaeweza kuamini Chama chetu kitadumu milele... Na mara nyingi kauli hizi hutolewa na wasaka fursa.
  12. vicdala55

    Tundu Lissu: Rais wetu ni Rais wa Kifalme, hawajibiki kisheria mahali popote, anawajibika kwa Mungu wake tu

    Si ajabu nawe unajiona una akili kuliko Lissu. Kama huelewi kilichoandika bora ukae kimya. Tanganyika ilipata Uhuru wake Mwaka 1961. Katiba ya kwanza ya Tanganyika huru iliandikwa Mwaka 1962. Hiyo ndio msingi wa hoja ya Lissu. Katiba hiyo ilitoa mamlaka makubwa sana kwa Rais. Na hata...
  13. vicdala55

    Rais Samia ameua Mhimili wa Bunge, bado kumalizia wa Mahakama. Haya si ya kushangilia

    Wajinga wengi hawatakuelewa. Wanamtazama Ndugai kama MTU, wenye hekima wanamtazama Ndugai kama Bunge. Ni aibu sana kwa Serikali kujivika ukuu kuzidi Bunge na Mahakama. Mara nyingi Serikali za aina hiyo ni Serikali dharimu. Hakuna tena Bunge la Wananchi. Serikali inayokataa mawazo na maoni ya...
  14. vicdala55

    Jaribio la kumtoa Spika Ndugai ni la hatari kuliko linavyochukuliwa

    Ni mjinga pekee ndiye huamini kila anaetoa maoni yake na yasiendane na yako kuwa huyo ni CHADEMA.
  15. vicdala55

    Jaribio la kumtoa Spika Ndugai ni la hatari kuliko linavyochukuliwa

    Kufuatia kauli za Viongozi mbalimbali kumshambulia hadharani Spika Job Ndugai kufuatia maoni yake dhidi ya deni la Taifa na utaratibu wa mikopo, kumeanza kusikika wito wa kutaka Job Ndugai ajiuzulu ama apigiwe Kura ya kutokuwa na imani nae. Hii ni kawaida katika masuala ya siasa, lkn wanaotoa...
  16. vicdala55

    Chadema kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya chama

    Chama kina Vijana wajinga sana wamejazana mitandaoni bila hoja za maana. Prees meeting imeitishwa na CHADEMA.. Hakuna anaejua wanataka kusema nini, lkn mnapishana humu kujibu hoja kutoka gizani. Mnaisaidia CHADEMA kutangaza jambo lao kirahisi huku mkijidanganya mnakisaidia Chama cha Mapinduzi...
Back
Top Bottom