Katika hali ya kushangaza Ndugu Dr. Mwakyembe kaifungia radio ya muhasimu wake kisiasa(George Mwakalinga) ijulikanayo Kyela Fm.
Kitendo hiki wananchi wa Kyela wanakilaani kwani ni ukiukaji wa haki ya habari kwa jamii ya wanakyela na matumizi mabovu ya madaraka .
======================
Majibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.