Search results

  1. E

    Elections 2010 Hali halisi vituoni siku ya kupiga kura

    Mimi na familia yangu tumepiga kura leo mapema sana, hali ilikuwa ni nzuri tu pale kituoni-sinza. vijana kwa wazee wamejitokeza kwa wingi sana japo ni wazi vijana wamejitokeza kwa wingi zaidi na on my way back home nilisimamishwa na kijana mmoja akitaka ajue kama nimeshapiga kura, kwakweli...
  2. E

    [The Economist] Promises, promises

    Imenibidi ni-sign up kwenye The economic immediately. Craps like this should not be left unreciprocated. Hata ivyo kuna vijana wakakamavu wamesha-comment in there, lakini naamini I also need to play my part.
  3. E

    Idd Amin na Wahindi

    This is the funny part of humankind. There is always a hot debate between the natives and None (allegedly) worldwide. There is a fairytale that a modern society embodying ideas of friendliness, fairness, values, respect, tolerance and equity has failed to prove immunity to inter-cultural myths...
  4. E

    Elections 2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

    Thanks a lot Rutashubanyuma:thumb: Mimi binafsi nimepata tabu sana hasa kuhusu hili swala la UDINI kuingia kwenye uchaguzi wa mwaka huu. Kwa muda sasa, nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana kampeni za uchaguzi kupitia vyombo tofauti vya habari, sijaweza kuona/kusikia mgombea mwingine yeyote...
  5. E

    Mjengwa Blog: Zikiwa zimebaki siku 20

    Mzee this is the paining truth I have ever read in JF.
  6. E

    Elections 2010 Kikwete hafanyi tena kampeni

    Naamini hiyo ni mikakati hasi zaidi ya uchaguzi ambayo inahusisha mambo yafuatayo: 1. Mgombea kutoa matamko ya kiserikali yanayotekelezeka baada ya uchaguzi. 2. Mgombea kuzungukwa na maofisa wa serikali wasio wanasiasa. 3. Mgombea kusomewa risala hewa za mahitaji muhimu ya wananchi na kuombwa...
  7. E

    Watanzania mtaruhusu hii hali?

    Mmh!! mchango mzuri, umejaribu kuelezea hali halisi, lakini ni hali halisi kwa wale wote waliozoea "kawaida", nadhani ni wakati muafaka tukaanza kuzoea hali halisi yaani "mabadiliko". kama utakumbuka wakati wa uchaguzi wa marekani 2008 (nasikitika sina mfano mwingine rahisi), ni sehemu ndogo...
  8. E

    Elections 2010 Rwegasira akanusha kujitoa kugombea ubunge nkenge (video)

    Though reluctantly, I think I need to comment again Daily News!!!! Jamani this is unbearable attitude by Gov media, shameless and unspoken one. I wonder what it takes to bring necessary corrective measures (i mean in the short run). I believe the Gov organs need to act impartially especially...
  9. E

    Zitto anataka kusaliti CHADEMA?

    Kwa mtazamo wangu kuna mambo matatu hapa 1.Zitto ni mwanasiasa aliyekomaa tunaamini anafamu anachokifanya. 2.Uhuru ni jarida la chama tawala na linaolongozwa kwa sera za chama tawala na ni moja ya majarida yenye wahariri makini na wasomi (wanaotumika kwa maslahi ya chama tawala) tulikubali...
  10. E

    Elections 2010 Daily News: Slaa will not be the fifth president of Tanzania!

    sincerely, it's a shame and it's a big one.
  11. E

    hello

    happy to join you guys. hakuna kitu swafi kama ku-share (with positive minded people), inakufanya uwe huru (huru kweli kweli)
Back
Top Bottom