Woooh, pole sana dada ila ningekushauli usilitilie sana maanani, najua ni ngumu ila jitahidi. Mshauli mmeo muhame hapo nyumbani mara moja ila jitahid uwe na kampani usiwe unajitenga na marafiki zako koz unaweza kuwa unayawazia sana hayo mambo yakakutoa nje ya maisha yako ya kawaida.
Ndoto hiyo inhgetimia inge mkomboa kila mtanzania kifikra na kumpa mwanga mpya mtanzania
Binafsi naipenda chadema zaid ya kawaid kiasi cha kufikiri zaid namna ya
Kukichangia chamachetu.
Kwa maono yangu ni kutokana na uhusika wake katika maswala haya ya ufisadi, ni vigumu kumsema mwenzio et anamaliza nyama wakati we unakomba mpaka bakuli. mkulu wetu hajiamini na hataweza kujiamini kulisemea swala la rushwa kwani wahusika wote wamemzunguka naye pia akiwa miongoni mwao. miaka 5 ni...
Kuna kampuni lulani ya kimarekani wanataka kuanzisha mradi muheza tanga ila wanauliza in network gani wanaweza kuchukua? waliuliza zantel ila inaonekana zantel hawana coverage maeneo hayo, P lease naombeni mnijuze
nakumbuka katoto hako kalishawahi kuomba radhi kwamba kalipotoka sasa mbona kanaendelea kuvaa vivazi ambavyo haviridhishi? hataivo nadhani kameshakua nakameshachagua aina ya maisha katakayoishi
Jamani mi nashangazwa na uoga wa CCM, urais wamejibambika tena kwa ngumi na mateke sehem nyingine ubunge pia wamelazimisha, umea pia? hawaoni aibu meeeeen we are tired of it.
DR.SLAA anafaa, mabibi na mabwana habari zenu, sababu za mimi kumchagua slaa ni msimamo wake alionao tangu mwanzo bila ya uoga et kiongizi furani ata mfanya nini, amekuwa na hoja zenye maslahi kwa taifa tangu mwanzo, tumeona jinsi alivyo pambana bungeni kwa maswala ya ufisadi ambapo alichekwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.