Kumekuwa na tafsiri potofu kuhusu Muswada wa Sheria ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (The Public Service Social Security Fund Act, 2017), inayotolewa aidha kwa bahati mbaya au kwa lengo la kupotosha maudhui ya Muswada huo kuwa unakusudia kutoza kodi mafao ya Wastaafu, kubagua...
Kumekuwepo na Uzushi unaonezwa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mswaada wa mabadiliko ya sheria ya hifadhi ya jamii kupelekwa bungeni
Uzushi huo unasema eti fao la kujitoa halipo kwenye mapendekezo hayo na badala yake limeletwa faola kutokuwa na ajira
tunaomba watu wenye nia njema na sekta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.