Habari zenu wanajukwaa pendwa la MMU.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, napenda kusikia maoni yenu kutoka mitazamo tofauti tofauti ya kidini/imani na kidunia.
Swali hili limekuja baada ya kuwa nchi ya kigeni ambayo wana tabia za kibaguzi hivo kuingiliana nao ni ngumu, sasa...
lara 1 naona umepoa hivo wacha niokoteze story nisisimue kijiwe kama zamani. Ila mie ntaeka kizungu ili tuanze kuijua lugha ya biashara kwa ufasaha tusiwe tunatoa mimacho tukipenda wa mataifa mengine.
**Story inaanza hiviii..
‘Wait!!!!’ Segi yelled, trying to push him away, bucking her hips so...
Wasalaam wana JF, mitikasi ya maisha zipo poa..!?
Baada ya matumizi ya muda mrefu ya condom nimebadilisha uamuzi na kuamua kuachana nazo kabisa.
Sababu zikiwa ni hizi zifuatazo:
Zina fanya tendo kuwa halina msisimko na kuchelewesha ejaculation.
Plastics na mafuta yenye kemikali...
Mwanamke mjinga:-
1. Anamkomoa mumewe.
2. Analala mapema kabla ya mumewe.
3. Anachelewa kuamka kabla ya mumewe.
4. Mbishi, anahisi kuonewa mda wote.
5.Anadhani kumnyima mumewe unyumba ni kumkomoa
6. Mmekaa sebuleni anahadithia tu mafanikio ya familia za watu wakati yeye ndo kigezo cha...
Habari za jioni wana JF, nimeona nishee nanyi mawazo haya ambayo wengi wetu hatuyapi mkazo na badae tunakwama na kuhaha.
Kama wataka kufanikiwa katika uwekezaji wako na biashara hebu pitia haya machache ila yenye maana kubwa:-
1. uwezo wa kusimamia fedha.
kama huwezi kusimamia fedha, huwezi...
Wasalaam,
Nitaenda katika mada moja kwa moja. Nimekuwa katika mahusiano na single mum kwa takribani mwaka na miezi sasa ila baada ya kumaliza nae nusu mwaka nimejikuta napitia mabidiliko makubwa ya kihisia na fikra. Mama huyu nilimkuta na mtoto mdogo wa miezi saba na alikuwa katelekezwa akiwa...
Wasichana wengi kuanzia miaka 19-23 sio waaminifu kwa wapenzi wao kwasababu bado huamini kuwa na uwezo wa kupata wapenzi wengine.
Wavulana between 19-23 ni waaminifu sana kwa wapenzi wao kutokana na kuwa hawana fedha na ajira pia ndio maana hutulia na mmoja.
Wasichana between 24-35 ni...
Hivi karibuni nmejikuta ile dhana ya used ndio watamu ikiyeyuka kichwani.Used wana raha kwamba hamna kufundishana mahabati ila kero ni kwamba wanakupa jeraha kisaikolojia la what of her or his ex.
Ataridhika akiwa nami au ndio anakaa analinganisha na experience yake!? Hii hufanya hata ndoa iwe...
Nimekuwa na mwanamke ana mtoto wa mwanaume mwingine na jamaa alitelekeza mimba ya miezi minne bila hata notisi. Sasa nmekuwa na mtoto na mama ake kwa mda mrefu na hivi karibuni nmeanza kusikia maneno mengi sana ambayo yananiumiza. Baadhi ya maneno ni kama hivi unapata nn pale had ukajieka, kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.