Aaa kuna dadaako alinipenda akanifundisha mengi ila sasa nimesahau
Najaribu kumwomba AD anifundishe lakini naona bei ya tuition iko
juu kweli......ngoja nitafute sponsor maana nimeanza kumiss
manguree
hahah na wakishato kupiga mangure na busaa ahahah
lazima akuchune ngozi hahah ....... Manyara nzima
haiko nyuma kwenye hii idara nasikia ukiwa legelege
kidogo tu inakula kwako hahah
No comments maana hawa unaowazungumzia hapa nadhani ni rare type uncommon in the place i live.
Kama wote wako hivyo hata dada zangu ningewakataza kuolewa
wewe unakuwa wapi mpaka yeye amalize mchezo na kukuwacha wewe nanihii
mie saa nyingine naona mnajitakiaga.........mawazo yenu siju ndio yako kwa
Safari wakati huo...... hahah mpaka uje uyarudisha kwa Ako Nai, yeye keshamaliza.
Weka mawazo yako uwanjani
U sound ambitious and confident, a kind of a woman every man would like to have. So, do u believe on this limbwata thingy maana it makes me sick. Yaani nikisikia wanawake wanazungumzia hii kitu nawaona kama wanga flani hivi, sorry no offense
Ndio nillikuwa namwambia michelle hapa kwamba caring, love, comfort and the like can be
provided na mwanamme bila shaka ............ila hii ya kwenda sijui kwa sangoma akutengenezee
mi naipinga kwa nguvu zote
No doubt Michelle..........even nicer ........... mi huwa naamini kwamba ukiwa na age mate wako or near age mate mtakuwa na mengi
tu ya kufanya pamoja na hata kurekebishana inakuwa rahisi. Lakini utakuta wasichana hata watatu wanamgombea check bob flani
halafu ukiangali hamna future wala nini...
Michelle, kwanini usi-experiement na huyo wa ku-raise na familia? what is wrong with that?
Mkishachoka na hizo experiment ndio mtafute yale mlokuwa mnayaita mazoba, aliye-settle mwenye hela?
Apo ndio mnaishia kunyanyaswa, unaanza kutafuta visivyotafutwa, limbwata sijui toa tigo.........
mi naona...
Kuna kaimani flani eti kama ukipewa ukakataa atapeleka kwingine.......siju kama kuna
ukweli ndani yake. Kama hutokula basi muachane au uwaachie wenye meno watafune.
Hapa mwanamme ni mpokeaji tu .......nadhani mwanye shida ni mtoaji au nakosea?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.