Ww nae kiaz, sheria inasema kama hiyo kaz tz hamna wataalam wakuifanya ndio mtu kutoka nchi za nje anaweza pewa kibali afanye. Amkeni usingizini Tz kwanza
Wazoefu, naomba mnisaidia jinsi ya kumkabidh mtu boda yako. Kuhusu mashahd, na namna ya kuhakksha boda yako inakua salam na huingii hasara endapo jamaa atapotea nayo
Napenda sana tabia zake ila tatzo ni mweusi na mimi napenda wanawake weupe.Moyo hautaki kumuacha, nafsi inasita kumuoa nahisi nitakua natamani sana weupe, nipo njia panda coz ni wife material sana.
Nishurini jamani nimuoe hata kama nafsi ipo nusu nusu kwake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.