Hahahaa! Inauma ila tamu. Mimi ni driller by profession so hii nchi nimezurura mno Alhamdulilah, kote nilipozurura napanyooshea mikono Moro Town.
Siku hiyo nakula gambe mitaa flani jirani na Msamvu panaitwa Itigi nikaopoa binti. Mmh! baada ya monde sana akanambia tuhamie Yohana Pub tukaenda...
Za jioni wadau?mm bint yng anataman kuingia jeshini kabla cjamkubalia nikaona niwashirikishe ili nipate uelewa ni nn haswa kazi ya wanajeshi wa kike jeshini ikiwa kwa umri wng c haba cjapata kuwaona mstar wa mbele vitani,karibuni kwa wenye uelewa nipate kuelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa hapana haijatangazwa popote wanajamvi Bali ni Mimi mwenyewe nimeamua kuwaza kwa sauti!
Sio siri huyu Zembela nimejaribu kumfatilia kwenye kipindi cha super mix East African Radio pia kipindi cha uswazi pale EATV nimegundua jamaa anaupeo mkubwa wa kupambanua mambo pia ni jamaa aliekulia...
Wakuu salaam,polen na shughuli za kutwa nzima,nimekaa na kufikiri kwa sauti embu tujuzane ni nani aliyegundua taa za chemli mbona pale unapotoka utambi kuko vile?karibuni jukwaani tujadili pamoja!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.