Habari za asubuhi wanajamvi!
Samahani naomba Kuuliza kwa anayefahamu,
Hivi kuna tatizo gani linaweza kutokea endapo utatumia misumari ya bati za kawaida yaani migongo midogo kuezekea bati za migongo mipana!
Naomba kufahamu hilo!
Nawasilisha!
Habarini za asubuhi wanajamvi!
Nauza karanga zilizosagwa a.k.a Peanut butter!
Hizi zina faida nyingi sana kiafya! Karibuni kwa wanaohitaji.
Nicheck kwa namba hii hapa chini;
0621 002 220
Habari wanajamvi!
Ninauza maharage ya Kigoma ya njano tani moja! Mzigo upo DSM,@ kilo ni TZS.1,600/=
Anayehitaji tuwasiliane kwa namba 0621002220!
Karibuni!
Habari za humu Wakuu!
Naomba kujuzwa ni brand ipi ya bati au kampuni ipi ya bati inayozalisha bati nzuri kwa kuezekea ambazo hazipauki. Nauliza hivo kwa sababu kumekuwa na viwanda vingi sana siku hizi ambavyo bati zake zimekuwa zikipauka kwa muda mfupi sana!
Naombeni mwenye kujua anifahamishe...
Habarini wandugu!
Karibuni wapendwa,ninauza karanga zilizosagwa ali maarufu kama Peanut butter kwa bei nafuu ya shilingi 6,000/= tu kwa kilo.
Kwa mawasiliano piga +255 621 002 220
Habari za jioni wanajamvi!
Wapendwa katika Bwana, ni matumaini yangu kuwa hamjambo,kwa wale mlio wagonjwa, poleni sana, Mungu atawaponya kadiri ya mapenzi yake mwenyewe!
Nisiwachoshe sana, niende moja kwa moja kwenye mada!
Leo jioni nikiwa nimepumzika nyumbani,niliamua kuchukua Biblia takatifu...
Habarini JF
Kama heading inavyojieleza, kuna jamaa yangu aliniuliza, Azoospermia ni tatizo gani, Na Je, linatibika?
Sikuwa na uelewa sana juu ya hilo tatizo japo najua linahusiana na mambo ya uzazi.
Naomba kwa anayefahamu zaidi kuhusu maana halisi ya neno/tatizo hilo na jinsi ya...
Habari Wanajamvi!
Daktari wa magonjwa ya wanaume anaitwaje, na ninaweza kumpata/kuwapata hospitali zipi hapa Dar es salaam! Ni swali nililoulizwa na rafiki yangu, nami sikuwa na majibu ya kuridhisha kwani sina utaalamu zaidi juu ya hilo!
Karibuni kwa yeyote anayejua tuweze kumsaidia rafiki...
Habarini wakuu,
Bila kupoteza muda kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ni jamaa yangu mmoja alinifuata na kuniambia kuwa wana ugomvi na mke wake juu ya mimba aliyonayo kwani mazingira aliyoipata hiyo mimba hayana udhibitisho au uhalali wa jamaa kuwa mmiliki.
Labda nieleze kwa kifupi juu ya...
Habari wanajamvi,
Nina imani humu kuna watu wenye fani mbalimbali na wenye uzoefu wa mambo tofautitofauti. Naomba mawazo yenu wakuu.
Ninahitaji kuanza kaujenzi ifikapo mwakani, niandae kiasi gani cha fedha kukamilisha boma peke yake lenye jumla la vyumba vinne, sebule, jiko na dining.
Karibuni!
Amani Iwe Juu Yenu!
Poleni na mihangaiko ya hapa na pale kwa ajili ya kujitafutia riziki! Nisiwachoshe sana,ngoja niende moja kwa moja kwenye mada! Kuna siku mwezi uliopita nilikuwa mtaani,nikawakuta vijana wanajadili juu ya maisha ya ndoa! Walikuwa wanamjadili mwanamama fulani hivi mtaani let...
Habarini wakuu!!
Poleni kwa pilikapilika za wiki nzima,nina imani wengine mtakuwa bado mko kwenye mihangaiko ya kimaisha kwa ajili ya kujipatia riziki, wengine kwenye nyumba za ibada wengine safarini na wengine mmepumzika nyumbani na familia zenu.
Nisiwachoshe sana,naomba kwenda moja kwa moja...
Habari wakuu!
Kama swali lilivyouliza, Je wakati wa tendo la ndoa mwanamme anapomwaga shahawa zake ni lazima ziingie zote ukeni ili aweze kumpa ujauzito? Au kuna zingine huwa zinarudi nje na je ikoje hii katika kumpa mimba/ujauzito mwanamke!! Nawasilisha!!
NB: Nitafurahi sana nikijibiwa...
Habarini wana MMU!
Rejea kichwa cha habari hapo juu, hayo si maneno yangu bali ni rafiki yangu aliniambia kuna jamaa yake kamfumania mchumba wake live na mwanamume mwingine wakigawiana tunda.
Jamaa keshalipa mahari na kila kitu kinachohitajika kwa ajili ya kukamilisha ndoa yao.
Wazazi...
Habarini wana MMU,
Nina imani mu buheri wa afya nyote!
In case mumeo/mkeo yuko mbali kidogo na simu yake halafu ikatokea akapigiwa simu na mtu ambaye aidha ni namba ngeni au iliyohifadhiwa kwenye simu, na wewe upo karibu na simu yake, Je, unaweza kumpokelea!
Nawasilisha!
Habari wana JF,
Niwape pole kwa majukumu ya kila Siku, katika ujenzi wa taifa letu.
Kama heading inavyojieleza hapo,nilijikuta niko katika wakati mgumu baada ya kuulizwa swali hilo na rafiki yangu wa karibu sana. Nina rafiki yangu, anatarajia kuolewa mwaka huu, kwa sasa anakaa na rafiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.