Wadau sijamuouna Zito kabwe bungeni. wakati huu ambao chama kinapita katika harakati nzito za kuondoa fikra mgando miongoni mwa wanasiasa na watendaji wa serikali alipaswa pia kuwa sehemu ya mapambano bungeni kujenga na kutetea hoja maana naona style ya chama tawala sasa ni matusi kwa kwenda...
MITANDAO MINNE YA WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINADAMU INAYOITWA
FEMACT
TANZANIA LAND ALIANCE AU TALA
PINGOS FORUM YA ARUSHA
NGONET YA LOLIONDO
wamemaliza kuongea na waandishi wa habari sasa katika hoteli ya LUSH GARDEN na kutoa tamko Kali dhidi ya serikali kwa nia yake ya kutaka kuuza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.