Too much alcohol is not good for the health as we all know and the body and mind both suffer, but mostly the brain and liver.
Alcohol includes wine, beer and liquor too are all depressants of the central nervous system. But, one beer per day is actually good. It has vitamin B and proteins more...
Nitamnukuu kama alivoandika katika ukurasa wake wa "Facebook" ......
"... Hata Nyerere hakuwahi kujaribu kuleta Spika wake au Naibu Spika wake mfukoni. Alipomteua Chief Adam Sapi Mkwawa kuwa Waziri alifanyiwa rebellion na wabunge ( wakati wa chama kimoja) akamrudisha mpaka alipostaafu tena kwa...
Kwa anayehitaji Plots zilizopimwa Maeneo ya Bagamoyo zenye ukubwa tofauti kulingana na mahitaji yako tunaweza kuwasiliana.
Kwa sasa kuna plot inauzwa ipo karibu na mji wa bagamoyo (Ukuni) ni zaidi ya square metre 1,000
Unaweza kuni-PM kwa mawasiliano zaidi.
Ndg wanajukwaa;
Katika hali iliyopo Sasa wananchi tumekua tukijiuliza maswali mengi kuhusu kiwango halisi cha mshahara anacholipwa rais wa Tanzania.
Kwa haraka haraka nimepitia nyuzi tofauti kwenye mitandao na kugundua kuwa Rais wa Tzee analipwa kati ya 24 million na 32 million kwa mwezi sawa...
Katika pita pita kwenye mitandao Leo nimekutana na hii makara ambapo Tanzania imechukukua nafasi ya nane kwa uzuri duniani "The most beautiful countries in the world"...
Tanzania ranked as the 8th most beautiful country in the WORLD! | Mirrowdaily
.......Unaujua wimbo we're the world? Kina Michael Jackson waliimba kuichangia Ethiopia iliyokuwa inachanwachanwa na kusambaratishwa na njaa na ukame watu walikufa pamoja na mifugo hiyo ilitokea mwaka 1984 baada ya mpiga picha maarufu duniani Mohammed 'Mo' Amin pamoja na Michael Buerks kupiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.