Wakuu habari za weekend,
Shida yangu kubwa ni meno yangu mawili ya mbele, meno ya tabasamu. Meno haya yameinuka kidogo kiasi ambacho yamezidi ule usawa wa meno ya chini. Yametengeza kitu kinachoitwa overbite. Jino moja la upande wa kulia limeanza kuinuka kabisa linatoka nje ya mstari. Kwa...
Unajuaje kama ye anataraji malipo kwa mola wake? Lau kama anataka tu kusaidia watu wapate sehemu nzuri ya kusali tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kigwangalla kwanini anaacha taaluma na kuparamia mambo mengine? Huku ndio kusoma bila malengo.....hivi linashindwa kufungua hospitali likapiga hela mapaka linakomaa na siasa? Kama shida ni hela invest kwenye profession yako? Sasa ulisomea nini?
Ona sasa kila siku yuko maporini kisa kumridhisha...
Mwanangu dagaa wanapatikana huko Igombe?
Back to the topic.
Bikra is not dignity, it's just lack of opportunity.
Binafsi sijaoa. Kuna bikara nimempiga kibuti baada ya miezi 2 tu ya kujuana naye...ana tabia mbaya. Anakasirika kwa mambo madogo, ananifokea fokea kwa mambo madogo madogo. Kuna siku...
Sijui ndo maana yule mhindi wa kampuni yangu alinipa kazi kwa kuniinterview nikiwa na njaa asubuhi. Sikunywa chai.....na watu wengi wanakosa kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma kayumba ya wilayani, haikuwa mjini sana ila sio kijijini kabisa. Fagio za chelewa, majembe, nguzo za kujengea jengea sehemu za nyasi, maua, maji na kuni.
Wasichana ilikua kawaida kuagizwa wakachote maji kupeleka kwa walimu. By the way dingi alikua ticha so nimekula sNa mseleleko wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.