Suala la ajar za barabarani kila mtu anahusika kwa namna yake kwanzia serikali, mamlaka huska hadi abiria., tatizo ni ubinafsi na tukiendela kuuendekeza utatumaliza
Mkuu, kwakuwa uwezekano wa kuahirisha upo. Ni afadhari uahrishe kwanza na utulie, huenda biharus mpya tabia hiyo ni yake kweli ambapo naiman walau chembe za hyo tabia ulishaziona tangu mlipoanza kufahamiana(kufundshana kazi), kama hakuna mapungufu mengne yoyote, tulia na ufikiri upya, kwa huyo...
Mkuu.. kwani linapoenda kigoma huwa linapaa angani au huzama ardhin kutoka pale steshen dsm na kuibukia kgm stesheni..?! Hivi huwa kuna alama au kibandiko kuwa anaepanda na kushuka kwa tren hilo ni Mkigoma.??!
lol jaman.. Kwani wabongo ni watu wanamna gani hata mpaka karne hii washindwe kuwa na uelewa na utambuzi kwamba usipojithamin mwenyewe hakuna ataeweza kukuthamini.?! Em tupendane jaman itatusaidia kutofikiriana kutokutenda na kutendeana yasiyopendeza/yasiyotakiwa katika jamii
Na inawezekana kabisa hawapati mgao wowote bali ni ule uholela-holela na ubinafsi unaoendelea kumnyemelea na kumtawala kila mtanzania. Chamsingi ni kila yeyote awe anavotakiwa kuwa&kufanya katika mazingira&wakati husika na kwa nidhamu&upendo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.