Shost kila mtu atakula kwa wakati wake,nafasi ulipewa ukaichezea wenzako tunaitafuta usiku na mchana haya tukaipata unategemea nini,ni full maujuzi yani, hutoambulia hata dola 1 kwenye simu yako,mjini hapa jamani,mwenye nacho akitumie akikikosa asikijutie.
Mungu wangu weweeeeee
Mimi ukija na hiyo gia nakukimbiza km ifuatavyo yani.Jamani kwa style hiyo unampata mtu kweli?Mimi mwanamke njoo nikupe maujuzi ya kutongoza kaka.
Pole sana
Huyo ni mchumba kweli au Gfriend jamani?mmhh kaka pole sana km unataka awe mchumba inabidi ufikirie tena coz sidhani km utakuwa umechelewa kabla haijala kwako kaka,pole sana kwa hilo.:confused2:
sio mara yangu ya kwanza kuiona jamii forums coz kuna watu ofisini huwa wanaitumia so nikawaomba wanisaidie na pia kwa kuwa nimesoma IT imeniwia rahisi kujifunza zaidi
No inategemea hapo kila mtu na vigezo vyake jamani.
Mie kwa upande wangu cha muhimu ni yukoje
-Awe mcha Mungu
-Awe mrefu kwa kimo
-Awe amenipita umri km miaka zaidi ya mitano
-Awe amesoma
-Awe ananijali na kunipenda kwa moyo wake wote
-Awe makarimu kwa ndugu na rafiki zangu
Hayo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.