Wakuu habari, natarajia kufungua biashara ya kupaka kucha rangi na kubandika kucha rangi kwa wadada yan kuwa na frame mwenye kujua ABC ya hii biashara anipe muongozo tafadhari.
Habari wana JF,
Kesho nataka kwenda Ilala wanapopoint mitumba asubuhi, naomba kuelekezwa ni Ilala ya boma au hii ya amana hospital, natokea Gongo la mboto.
Asanteni [emoji122]
Habari wana jf naplan kuanza biashara ya kuuza nguo za wadada za mitumba kwa kupoint npo Dar. Nimejarib kupitia thread mbalimbal humu nyingi znasema mitumba inapatikana ilala ukiwah alfajir, ningependa kujua ni ilala boma au ile ilala ya Amana, asanteni.
Habari,
Ninatarajia kufanya biashara ya nguo za mitumba ila niliplan kuwa naziuza kwenye minada mwenye kufahamu changamoto zake. Naomba anifahamishe na pia kwa Dar anayejua minada inapofanyika au kwa aliyepo Moro anaejua minada inapofanyika na siku zake na malipo kwa siku inakuwaje na...
Je una used item yoyote unayoitaji kuiuza au kuinunua na hujui n wapi utaiuza,soluhisho limepatikana karibu tukusaidie kuuza na kununua kwa bei poa kabisa call/WhatsApp 0718096900
Jipatie handbags nzur kwa bei ya 45000Tsh napatikana Mtoni kijichi Dar Es Salam,free delivery kwa wateja wa dar tu,mikoan tunatuma kwa gharama ya mteja.
Call 0784427363
WhatsApp 0718096900 ]692099[/ATTACH]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.