Inatakiwa kwanza uwe umesomea udereva sehem NIT awafundishi udereva wao wanatoa course za madereva whether unataka kusomea udereva wa kuendesha viongoz nk kwahyo kama ulishawah kusoma udereva sehem na una lesen nenda kaspecialize hapo hcho ndio ninachojua unaweza hata ingia kwenye Web yao au...
Kuna hawa mawakala wa ajira nje ya nchi recent nmeona wana kaz kwa wadada huko UAE na wanasema wanakulipia usafir uwe tu na passport je hili la kupokonywa passport ukifika lina ukwel.
Wakuu habari, natarajia kufungua biashara ya kupaka kucha rangi na kubandika kucha rangi kwa wadada yan kuwa na frame mwenye kujua ABC ya hii biashara anipe muongozo tafadhari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.