Wadau Tumshawishi huyu mwenzetu azilete hizo hela hapa nchini itasaidia kuinua pato la taifa letu kwa kuongeza mzunguko wa pesa na kodi,pili wigo wa ajira utapanuka kwa wazawa wa hapa,sasa tunavyotoa majibu ya ajabu haisaidii maana ataamua azitumie huko na wataonufaika ni hao wa huko.
Mdau mimi...
Kuna uwezekano mkubwa wa wasomi wetu hapa nchini hasa wale wa elimu ya juu ( universities) kukosa nafasi ya kushiriki kupiga kura mwaka huu, na hii inatokana na vyuo kufunguliwa baada ya uchaguzi huku idadi kubwa wamejiandikisha wakati wakiwa chuoni...
hii nikumnyima mwananchi haki yake ya...
...Uoto wa asili utapotea uharibifu wa mazingira utaongezeka kwanza moshi wa magari,pili makelele ya magari pindi yanapopita hapo yataadhiri kwa kiwango kikubwa achilia mbali na uchafu utakaokuwa unatupwa na abiria pindi wawapo safarini.Achilia na hayo tu kile kitendo cha kujenga barabara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.