Mimi ni mwenyeji wa wilaya ya Ludewa, mkoa mpya wa Njombe., lakini siishi huko. Wana Ludewa wenzangu, nimepata habari kuwa, mgombea ubunge aliyepita sasa aligawa kadi nyingi kwa wanafunzi wa shule za Manda, lakini mbunge anayemaliza muda wake alishinda sehemu zingine zote. Ushindi wa huyu...
Kila anayegombania nafasi ya urais kipindi hiki ana mambo ambayo ameyafanya katika maisha yake ambayo mengine ni machafu mengine ni mazuri. Hakuna binadamu aliyekamili hapa duniani. Kutokana na ukweli huu, tusifuatilie yaliyojitokeza katika maisha yao kama ndugu mmoja alivyoandika katika forum...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.