hii ni sbb ya serikali kutokuweka sera thabit juu ya ajira wamejenga vyuo lkn kuwekeza ili ajira zipatikane hakuna tunamkumbuka mwl nyerere mpaka kesho.
salome tambua kuwa warioba hazungumzii mawazo yake binafsi bali maoni yetu tuopanga mistari kuyatoa ili tupate katiba nzuri isiyojali na kusaidia mafisadi. Suala la mbunge kukaa jimboni kwake mie ni mmoja wa watoa oni hilo. Usipende kudhoofisha hoja za mzee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.