Mkuu pole sana ila kwa hilo la Viraka umepoteka material ya tairi ya ndege hayaruhu viraka na kwa uzito wa ndege na viraka visingeweza kuhimili vishindo....wanaweza kuku held accountable kwa kauli yako hii!!! yote kwa yote polee sanaaa
Tazama kwa makini mtiririko wa matukio ya viongozi kujiuzulu na sababu zao za kujiuuzulu na staili zao za kujiuzulu.....
Matamko licha ya kwamba yanafanana nakutofautiana tu katika mzaingira yanapotolewa!!!! Pale ambapo kuna misingi imara ya Chadema utaona mbinu mpya ya kuyatoa ikutumika pale...
Kweli hii movie cheki matamko yao yote yanafanana!!!!!....sasa huo umoja wenu unauhalali gani mze au unataka kutuuzia chai tu hapa.......kweli mmepotoka!!! Huyo Zitto unayesema nikiongozi wa chama ni chama gani labda maana tujuavyo kashavuliwa madaraka na chama sa sijui mnamzungumzia nanii!!!!!
:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1: sasa hivi toka lini marafiki wa chama pinzani wakasaidiana kuandaa mkutano tena wa chama pinza na mbaya zaidi juu ya mambo ya chama pinzani.....daaah haya banah endeleeni kutumia uhuru wenu wakutoa maonii!!
So ukweli ni kwamba mnagombea nafasi ya Uenyekiti!!! na kunakambi ya Mbowe na ya Zitto...... wewe cjui machange wakati unaongelea Chadema kama ulivyotambua mchango wa Zitto ningekuona unabusara kama ungetambua mchango wa watu wawili uliowataja kwa kejeli katika post yako yani Mbowe na Slaa!!! Na...
Wanawake wawili wakazi wa kijiji cha Izizimba kata ya Mahande tarafa ya Mwamashimba Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza, wamelamikia kitendo cha wanaume wa kijiji hicho kuwalazimisha kuchimba kaburi na kuzika kwa madai ya kutuhumiwa kuwa ni wachawi.
Wanawake hao wamedai kuwa kitendo hicho siyo tu...
MJUMBE wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Sengondo Mvungi (61), amevamiwa na watu wasiojulikana na kujeruhiwa kwa mapanga sehemu za kichwani na usoni.
Dk. Mvungi ambaye ni mwanasheria maafuru nchini na mwanachama wa NCCR-Mageuzi, alivamiwa na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi saa 6:30 usiku...
Mwanamuziki wa muziki wa dansi nchini, Nguza Vicking ‘Babu Seya' na mwanaye Papi Kocha ‘Mtoto wa Mfalme', wameiomba Mahakama ya Rufaa nchini iipitie upya hukumu yake iliyoitoa Februari mwaka 2010 ambayo iliwahukumu kifungo cha maisha kwa sababu hukumu hiyo ina utetezi wa wazi wa...
Mtoto shujaa aliye karipiana na magaidi kuzuia mama yake na dada yake wasiuwawe!!!!
Mtoto wa miaka minne ambaye ni raia wa Uingereza, Elliott Prior ameonyesha ushujaa wa hali ya juu baada ya kuweza kuwatolea maneno makali na ya kugusa magaidi waliovamia jengo la maduka la Westgate.
Baada...
VIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wa Wilaya za Misungwi, Nyamagana, Geita na wafuasi wao, jana walionja joto ya jiwe, baada ya wananchi wa eneo la Senta kuwazomea na kuambulia watu wachache kwenye mkutano wa hadhara.
Mkutano huo, ulinusurika kuvunjika kwa kupata watu hao...
Kumtumia balozi wa china katika majukwaa yao yakisiasa kwa mtazamo wangu ni kuishiwa kwa hoja kwa wanasiasa hawa wa CCM......walikosolewa na wapinzania wao na wadau wengine juu ya rafu waliyocheza....na kama haitoshi kauli ya hii SEREKALI KUMWANDIKIA BALOZI WA CHINA BARUA !!!!! ~ Habari...
Leo kunahabari juu ya kukamatwa kwa Alshabaab huko zanzibar ALISHABAB WAKAMATWA HUKO ZANZIBAR ~ Habari Classified taarifa hizi zinatia hofu na hata kuhatarisha kushuka kwa utaliii huko zanzibar kwani taarifa za kujipenyeza kwa makundi ya kihalifu huko Zanzibar zinaweza kuwatisha wageni...
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kitamshitaki Balozi wa China nchini, Lu Younqing Umoja wa Mataifa (UN) kwa kukiuka Mkataba wa Vienna (Vienna Convention) wa mwaka 1964 ambao unaeleza uhusiano wa kibalozi kati ya nchi na nchi.
Aidha, kimesema kitaiandikia barua Serikali ya...
...kaka umesahau mashirika ya uma yalikatazwa kununua hisa ama.......usilaumu hapa ilipofikia laumu ilipoanzia..kama serekali iingekua na maono wangenunua hisa kama walivyofanya serekali ya kenya kwa KQ na leo tusingekua na mwarabu anayetaka kuwekeza kwenye shirika letu la ATC cjui kama unayaina...
Naona wengi mnaongozwa na hisia mpaka mnasahau kua ni wajibu wa serekali kusaidia mashirika binafsi yenye mchango kwenye uchumi wataifa.....ni jambo la kawaida kabisa!!! ila kwasababu mmekaa kukosoa kosoa all the time mna miss hata positive things that should be supported ........ Kwani Air...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.