Search results

  1. C

    Ahsante Rais Samia na Ahsante pia Bollen Ngetti

    Jamaa alikuwa makali sana katika makala zake RIP Thadei
  2. C

    Uchaguzi 2020 DKT. Magufuli: Sasa ni wakati wa kujali maslahi ya Wafanyakazi

    Hivi unajua mshahara ni haki ya mfanyakazi na ipo kwenye katiba pamoja na nyongeza?
  3. C

    Rais Magufuli ulimtumbua upesi aliyechana Quran, mbona unachelewa Kumtumbua Jerry Muro aliyewadharau Waislamu?

    Tusitumie kivuli cha dini ktk mambo ya michezo,nimefuatilia sana sijasikia pahala ambapo Murro alitukana dini ya kiislamu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. C

    Azam TV ni shida, wajirekebishe

    Nipo njiani Sent using Jamii Forums mobile app
  5. C

    Azam TV ni shida, wajirekebishe

    Mwanzo ukilipia gharama za bundle ulitakalo na ukitaka kubadilisha kifurushi kwa kutuma sms *150*50*5 unakaa muda mfupi tu wanabadilisha bila kupiga simu, now days imekuwa kero, unawapigia simu hawapokei mapema mpaka inakata, unarudia tena inafikia hadi dakika nne ndo wanapokea, cha kujiuliza...
  6. C

    Watangazaji wa Clouds wengi wao hawana taaluma kabisa

    Sifa ya mtangazaji mwenye weledi na taaluma yake ni ku balance habari,clouds uwezo wao umebakia kwenye festivals,hawana tofauti na eFM Sent using Jamii Forums mobile app
  7. C

    Waziri Kigwangalla asema amemaliza mgogoro na Katibu Mkuu wa Wizara yake

    Dr Hamisi Kigwangwala si mtu mstaarabu,nakumbuka Akiwa Wizara ya afya ambako ndio maeneo aliyo somea,badala ya kutoa maelekezo kwa watumishi yeye alikuwa harsh sana,na kutowathamini Sent using Jamii Forums mobile app
  8. C

    Rais Magufuli umedanganywa mengi kuhusu Mkurugenzi wa Wilaya ya Ileje, Undugu na Waziri Mkuu unampa jeuri na huambiwi ukweli na wasaidizi wako

    Tupime kidogo tu,maelezo ya mtoa post,shutuma dhidi ya ded zimetolewa jana,sasa hayo majivuno ya kutamba kayatoa saa ngapi? Vema kumkumbuka hata mungu
  9. C

    Kwanini Januari Makamba anawatesa

    Madhara ya mifuko ya plastic ni makubwa sana,tena marufuku hii imechelewa,tafiti zinaonyesha mifuko hiyo kuchangia uwezekano mkubwa wa saratani kuliko hata uchafuzi wa mazingira,Hongera January,unatuepusha na SARATANI
  10. C

    Ajenda hatari: Mishahara ya watumishi

    MTUMISHI NA UTUMISHI WA UMMA
  11. C

    J. Makamba aweka pozi akingoja picha ipigwe huku akimpatia chakula mwananchi mwenye njaa.

    Umuhim upo he is a politician! Sent using Jamii Forums mobile app
  12. C

    ARUSHA: Mwalimu alimcharaza viboko 12 Mwanafunzi hadi kumpasua kiganja

    Alipata idhini ya mwl mkuu/mkuu was shule?au mbaaazi zimemchosha? Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
  13. C

    Samweli Chamulomo augua Bungeni ghafla na kufariki

    Pole familia yake na familia yaTBC alikuwa nguli sauti yake ikitokea pale Idodomya,R.I.P samwel
Back
Top Bottom