nasikia wanaogopa kuweka wazi sababu mkulu wa kaya anahusika na hata watunga sheria kule mjengoni wameogopa kumwajibisha mkulu wa kaya maana serikali ingevunjika na wabunge wangekosa kiinua mgongo chao .
nasikia kale ka ugonjwa kake (tezi dume) bado hakajapona ameshindwa kupata muda wa kuonana nao,labda akipona atawaita yeye mwenyewe! au kila akiiona bendera ya cdm anadhani ukawa wapo mlangoni tena kutaka mjadala wa katiba mpya ufufuliwe upya!
si huyu huyu mkuu wa kaya pale dodoma sakata la richmond alisema haijui dowans wala wamiliki wake! inatia shaka kumkabidhi nchi mtu asiyeweza hata kujitambua!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.