Search results

  1. Bi. Senti 50

    Msafiri Marwa Kaimu Balozi-Uingereza ni jipu lililotukuka

    Habari zilizotufukia hivi punde:jamaa achimba mkwara This is what called dictatorship and bully ......... Wadau mnakarubishwa kutiririkaaa
  2. Bi. Senti 50

    Msafiri Marwa Kaimu Balozi-Uingereza ni jipu lililotukuka

    Hapa hakuna mipasho wala majungu. Ni haukuelewa tu aliyepunguziwa machungu na ndio maana cheo hiko kikawekwa ni Chabaka wakati anamatatizo ya ndoa yake ya kwanza. Happy now.
  3. Bi. Senti 50

    Msafiri Marwa Kaimu Balozi-Uingereza ni jipu lililotukuka

    Huyu bwana wa kuogopa kama ukoma, alikuwa kama anasubiria mwenzie aondoke vile, pamoja na kumnyanyasa siku zote hakuridhiika. Anaota maisha makubwa kwa harakahara, maana wenzie walimpiga ile Jeep Cherokee pound 6000/-, gari imeoza, roho mkononi hujui kama utafika salama. Kuna mdada wa Kibongo...
  4. Bi. Senti 50

    Rest In Peace Mr Baguma of JB Belmont

    Yaani we acha tu! This Man was a gentleman, ninamfahamu kwa karibu sana na ninasikitika watu wakileta maneno maneno. Ameshafariki na hawezi kujibu mwenyewe lakini tunao mjua he had nothing na HR manager au mfanyakazi yeyote pale, what he did aliwapa uhuru ma managers wake wajiendeshe na hii ndio...
  5. Bi. Senti 50

    Rest In Peace Mr Baguma of JB Belmont

    Mzee Baguma mwenye hizi hotel za JB Belmont Dar (Benjamin Mkapa Tower) posta mpya na ya Mwanza ametutoka ghafla hivi karibuni. Tupo kwenye mshtuko mkubwa. Amefariki kwa matatizo ya kupumua chumbani kwake Hotelini Dar.
  6. Bi. Senti 50

    Rais Kikwete apangua Baraza la Mawaziri

    Kikwete Live @ Clouds FM use Google Chrome not Internet Explorer
  7. Bi. Senti 50

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Watch free on line on Watch Live Barcelona vs Chelsea Enjoy
  8. Bi. Senti 50

    Kwanini wanaume wanajichongea?

    Mmmh...... "Kwa msaada wa watu wa Marekani" teh teh!!
  9. Bi. Senti 50

    TANZIA Wakili mtetezi wa ICTR Prof. Jwani Mwaikusa auawa Tanzania

    RIP Prof. J Mwaikusa, Inasikitisha sana kusikia mtu ametolewa uhai wake just like that! Poleni wafiwa Mkj nafikiri huyo lawyer ni somebody Kapinga kama sikosei.
  10. Bi. Senti 50

    **~** penzi la clara **~**

    Mwanakijiji upo Jimboni nini unaweka mambo sawa?? Tuendelezee hii hadith basi maana utakuwa hujatututendea haki. Kama mambo yenyewe ndio hivi na kura yangu hupati. Mtu tunasikilizia mpaka ............ zinaisha kha!
  11. Bi. Senti 50

    Kallaghe kwenda UK Mlima kwenda Canada?

    Nimekuaminia Mwanakijiji, kainzi hakachezi mbali JK ateua mabalozi saba kushika nafasi mbalimbali Rais Jakaya Kikwete ameteuwa mabalozi saba kushika nafasi mbalimbali katika balozi zetu nchini Sweden, Canada, Ehiopia, Paris-Ufaransa na Balozi wa Kudumu Kwenye Umoja wa Mataifa. Katika uteuzi...
  12. Bi. Senti 50

    WAZO LA JUMAPILI: Consultant wa kutafutia mchumba!

    Hii dunia ya sasa hakuna waowaji / waolewaji watu tunakwenda tu mzobe mzobe. Mwanamme akisema achukue mwanamke wa kijijini, basi huyo mwanamke mpe miezi kadhaa maana akikaa mjini kidogo anakuwa mtoto wa mjini kuliko wale ambao wameishi hapo. Hakuna siku hizi mtoto wa kanisani au msikitini...
  13. Bi. Senti 50

    Kuacha na kuachwa

    Samahani kama nimekukwaza.
  14. Bi. Senti 50

    Kuacha na kuachwa

    pole!!!!!!!!
  15. Bi. Senti 50

    ~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

    Hadithi inaendelea kunoga, ahsante sana Mwanakijiji lakini chonde chonde isiishie hapo tafadhali. Pia hadithi hii inatufundisha maisha halisi ya kwenye ndoa, usione watu wanacheka mitaani lakini wakiingia majumbani moto unawaka. Ndio maana nyumba zinajengwa na mapaa, madirisha na milango kwa...
  16. Bi. Senti 50

    ~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

    Mwanakijiji, Kulikoni????????????????
  17. Bi. Senti 50

    Msiba

    Pole sana kwa msiba, mwenyezi mungu akupe wewe na familia yako nguvu na amani katika wakati huu mgumu wa msiba. Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe - AMINA
  18. Bi. Senti 50

    ~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

    Mwanakijiji hongera!!! Hii hadithi ni tamu. Yaani umenichota akili mpaka siku ya leo mawazoni kwangu nafikiri ni Ijumaa kuumbe ni J'tano Loooooooooooooh! Haya itaendelea lini? Maana I can't wait huo mlipuko watakapo kutana siku ya Jumamosi. Ningejua wanaenda kukutana wapi I don't mind kwenda...
  19. Bi. Senti 50

    ~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

    Mmhhh Hivi hujajua mapenzi ni uchafu?? Kama utajali usafi kwenye mapenzi basi utakosa vingi Lol
  20. Bi. Senti 50

    ~**~ kumbatio la mwenye makosa ~**~

    Balantanda ulijuaje?? Patakuwa patamu hapo!!! Hembu piga picha Mimi, Mwanakijiji na NN ndani ya nyumba - kutawaka moto Lol
Back
Top Bottom