Hapa hakuna mipasho wala majungu. Ni haukuelewa tu aliyepunguziwa machungu na ndio maana cheo hiko kikawekwa ni Chabaka wakati anamatatizo ya ndoa yake ya kwanza. Happy now.
Huyu bwana wa kuogopa kama ukoma, alikuwa kama anasubiria mwenzie aondoke vile, pamoja na kumnyanyasa siku zote hakuridhiika. Anaota maisha makubwa kwa harakahara, maana wenzie walimpiga ile Jeep Cherokee pound 6000/-, gari imeoza, roho mkononi hujui kama utafika salama.
Kuna mdada wa Kibongo...
Yaani we acha tu! This Man was a gentleman, ninamfahamu kwa karibu sana na ninasikitika watu wakileta maneno maneno. Ameshafariki na hawezi kujibu mwenyewe lakini tunao mjua he had nothing na HR manager au mfanyakazi yeyote pale, what he did aliwapa uhuru ma managers wake wajiendeshe na hii ndio...
Mzee Baguma mwenye hizi hotel za JB Belmont Dar (Benjamin Mkapa Tower) posta mpya na ya Mwanza ametutoka ghafla hivi karibuni. Tupo kwenye mshtuko mkubwa.
Amefariki kwa matatizo ya kupumua chumbani kwake Hotelini Dar.
RIP Prof. J Mwaikusa, Inasikitisha sana kusikia mtu ametolewa uhai wake just like that! Poleni wafiwa
Mkj nafikiri huyo lawyer ni somebody Kapinga kama sikosei.
Mwanakijiji upo Jimboni nini unaweka mambo sawa?? Tuendelezee hii hadith basi maana utakuwa hujatututendea haki.
Kama mambo yenyewe ndio hivi na kura yangu hupati. Mtu tunasikilizia mpaka ............ zinaisha kha!
Nimekuaminia Mwanakijiji, kainzi hakachezi mbali
JK ateua mabalozi saba kushika nafasi mbalimbali
Rais Jakaya Kikwete ameteuwa mabalozi saba kushika nafasi mbalimbali katika balozi zetu nchini Sweden, Canada, Ehiopia, Paris-Ufaransa na Balozi wa Kudumu Kwenye Umoja wa Mataifa.
Katika uteuzi...
Hii dunia ya sasa hakuna waowaji / waolewaji watu tunakwenda tu mzobe mzobe.
Mwanamme akisema achukue mwanamke wa kijijini, basi huyo mwanamke mpe miezi kadhaa maana akikaa mjini kidogo anakuwa mtoto wa mjini kuliko wale ambao wameishi hapo. Hakuna siku hizi mtoto wa kanisani au msikitini...
Hadithi inaendelea kunoga, ahsante sana Mwanakijiji lakini chonde chonde isiishie hapo tafadhali.
Pia hadithi hii inatufundisha maisha halisi ya kwenye ndoa, usione watu wanacheka mitaani lakini wakiingia majumbani moto unawaka.
Ndio maana nyumba zinajengwa na mapaa, madirisha na milango kwa...
Pole sana kwa msiba, mwenyezi mungu akupe wewe na familia yako nguvu na amani katika wakati huu mgumu wa msiba.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe - AMINA
Mwanakijiji hongera!!!
Hii hadithi ni tamu.
Yaani umenichota akili mpaka siku ya leo mawazoni kwangu nafikiri ni Ijumaa kuumbe ni J'tano Loooooooooooooh!
Haya itaendelea lini? Maana I can't wait huo mlipuko watakapo kutana siku ya Jumamosi.
Ningejua wanaenda kukutana wapi I don't mind kwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.