Nape anasahau kwamba mpango wa Mungu lazima utimie hata ukicheleshwa vipi,Na pili huyu huyu Nape akitumika kumchafua Jk 2005 na mizengwe yoote bado alishinda,sasa Nape amekuwa mfuasi wa siasa Za Kipuuzi sana na anatanbua baada ya Jk kuondoka hana chake na ndio maana analazimisha kutengeneza...
Niekeze Masikitikiko Yangu kwa Hichi Chama changu cha Ccm na Mizengwe dhidi YA Wagonbea Urais...
Ikumbukee ni wiki sasa imepita Tangu Chama kitoe ratiba ya Vikao vyake Dodoma,Wanaccm na Watanzania wako mkao wa kutaka kuona kipenga kimepulizwa Kwa ajili ya kumpata Mrithi wa JK...
Katika hali...
Tafuta na wewe pesa zako unaongelea watu ambao sio level Yako hata chembe Lowassa sio saizi hata YA Rais wako miaka 2 YA uwaziri mkuu alifanya nchi ikaonekana
Waombee adui zako waishi miaka mingi ili wanapobarikiwa wajionee kwa Macho,
Lowassa MTU Wa watu chaguo la watu,Tuliudhunika pamoja na Tutafirahi pamoja.
Vijana tunajadili Sera kuendana na mahitaji kisha tunajadili utekelezaji kuendana na nyakati kisha tunamuangalia nani wakumkabidhi kutuvusha.
Alie na matatizo na Edward akosoe na apendekeze amtakae kuendana na mahitaji Kisha utekelezaji wa mahitaji.utazunguka na utarudi katika usimamizi wa...
(Soma makala hii hadi Mwisho uwajue na ujihadhari nao)
Na Jacob Malihoja
WAKATI Mhe.Edward Lowassa alipokuwa Waziri Mkuu na hata katika nafasi zingine alizoshika hakupenda uzembe, hakupenda vitu vilale,hakupenda madudu mbali mbali yafanyike, hakuwa na mzaa .. hiyo ndio hulka yake kwasababu...
Ndugu zangu kwa masikitiko makubwa tangu report ikabidhiwe kwa mwenyekiti wa (PAC) Mh.Zuberi Zitto Kabwe kumekuwa na utaratibu wa viongozi hasa wa CHADEMA kujitoa ufahamu kwa kuiunga hoja hii mkono baada ya kuona mambo yanakuwa mazuri kwa upande wa Kafulila na Zitto.
Wakati mjadala wa #Escrow...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.