Comrade Mwigulu licha ya kujulikana TZ nzima,lkn hakua katika fikra za wengi kuwa anaweza akafaa kuwa rais Wa TZ by 2015. Lkn tangia alipochaguliwa kama naibu waziri wizara ya fedha...utendaji wake Wa kiharakati,uchungu kwa masikini na uzalendo vimemuweka pazuri Sana kwa nafasi ya uraisi na...
Jamani tuwe wakweli,hivi kwa so far waliojitokeza kuonyesha nia ya kuwania urais CCM ni kijana gani anamzidi comrade Mwigulu Nchemba?Binafsi nampenda kwa jinsi anavyoyatazama mambo haswa katika nafasi yake hii ya unaibu waziri wa fedha..Mabadiliko ni matendo na nchi hii inahitaji watendaji na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.