Search results

  1. G

    Nyota ya Mwigulu yakuza kwa kasi ya ajabu

    Comrade Mwigulu licha ya kujulikana TZ nzima,lkn hakua katika fikra za wengi kuwa anaweza akafaa kuwa rais Wa TZ by 2015. Lkn tangia alipochaguliwa kama naibu waziri wizara ya fedha...utendaji wake Wa kiharakati,uchungu kwa masikini na uzalendo vimemuweka pazuri Sana kwa nafasi ya uraisi na...
  2. G

    Mwigulu Nchemba:Tumaini jipya kwa Tanzania?

    Jamani tuwe wakweli,hivi kwa so far waliojitokeza kuonyesha nia ya kuwania urais CCM ni kijana gani anamzidi comrade Mwigulu Nchemba?Binafsi nampenda kwa jinsi anavyoyatazama mambo haswa katika nafasi yake hii ya unaibu waziri wa fedha..Mabadiliko ni matendo na nchi hii inahitaji watendaji na...
Back
Top Bottom