Kwanini waamuzi wengi hupenda kuibeba simba?ikifanya faulo refa anajitia hajaona,
Ikistahili penati kwenda goli la simba refa anapotezea..
Ikitokea mchezaji wa simba akiguswa tu eneo la karibu ya boksi la mpinzani refa anasema ni faulo!
Nyie hamjaliona hili?
Nilishalisema hapa huko nyuma na bado nitaendelea kusisitiza, kumtegemea Fiston kule mbele peke yake kutaendelea kutughalimu mpaka kuja stuka tutakua tumechelewa sana!
Kuanzia hapa nyumbani na hata nchi jirani pia nchi nyingi za ki afrika Mayele anajulikana kwa vurugu zake na hatari langoni mwa...
Na tukisemaga
'hapa kocha lazima amtoe Kisinda na Moloko' mara nyingi hutokea Nabi nae hufanya hivyo na kuwaingiza wale tulioona wanapaswa kuingia
Hivyo sisi si wajinga tunaelewa,shida ipo benchi la ufundi kirudia rudia makosa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.