Enzi hizo story za denda zilikuwa dili, vitu kama hug na kisses sio kisaaana, mambo mtwango tu, lakini sasa vijana dhaifu mbwembwe nyingi issue kidogo.
Mimi nadhani si suala la viongozi, nadhani issue kwa kuwa wengi ni mafisadi kwa hiyo watu hawataki watoto wa mafisadi maana nao wana reflect image ya wazazi wao.
WATOTO WA MAFISADI HAWATAKIWI!
ukitaka kujua jina lake fanya kama unatuma m-pesa ktk voda, ama tigo- pesa ktk tigo, ila weka kiasi cha pesa ambacho kinazidi pesa ambayo unayo ktk simu yako, message itabounce kuwa huna hela ya kumtumia mtu xxxxyyyy na jina utakuwa umeshalifahamu.
Alikuwa ni mzee mmoja aliyekuwa mbunge wa Biharamulo - Kagera(ccm)[ Phares Kabuye] , baadaye wakamchakachua kura za maoni akahamia upinzani na akashinda tena, miaka miwili mitatu iliyopita nadhani walimchakachua wakati anakuja Dar ktk mkutano wao mkuu akapata ajali ktk bus. kumbukumbu zangu...
Hata kama alikuwa na kazi nyuma, mwenzako akipata cheo kama hicho unatakiwa kuwa nae bega kwa bega maana ndio kazi yako kumfanya aweze kufanya kazi vizuri
By NgumiJiwe
Kulikuwa na Prof Mkoni pale muhimbili,kama kumbukumbu zangu ziko sawa,naye pia ni urologist
Naye yumo katika hiyo idadi..vp unadhani itabidilisha picha yote?
Mzee MMK hii kauli unaipenda sana" kuwa serikali hii imechanguliwa na wanachi hawa" hivi ndani ya mioyo ya waTanzania katika watu wawili jaribu kuuliza nani alimchagua nani.....watu wanauchungu sana.! lile vugu vugu la uchaguzi halikuwa bure ndugu yangu..mimi nakuomba ACHA kusema hiyo kauli...
Ni hii barclays VISA electron ya blue in colour( mine is person account)...ingawa sasa hivi wana upgrade yake, hakikisha una pesa ambayo inaweza kutoka maana wana charge equivalent ya USD 1.95 ambayo watarudisha ukishaverify baada ya kuingiza four digit secret code zitakazokuwa kwenye hiyo...
wote mnajua ukweli lakini mnapindisha......ppra.....crb.....tender board za mashirika na taasisi......wasimamizi wa site na wakaguzi wa site.........changanya na zako?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.