Samahani wadau, HV nigharama kiasi gani zinatumika kuendeshea uchaguzi huu?
Imagine kata moja inamitaa 9 hii Inamaana kwamba kuna wasimamizi wasaidizi 9.
Assume @ analipwa 25,000 per day × 30 = 750,000/= * 9 = 6,750,000 kwa KATA moja vipi kwa halmashauri na taifa kwa jumla??? Nini kifanyike???
Nashukuru kwa ushauri, changamoto, harshly comments zenu wadau na kila aina ya response ila napenda kuwa taarifu kuwa tumefikia makubaliano. Tupo kwenye utekelezaji now
Kuna dada nilikutana nae mjini (bar) tukadate.
Nikahama mji akaja kunitembelea Hataki kutoka.
Nina mpenzi wangu nataka ishi nae lakini yeye amekuwa kikwazo.
Naomba ushauri
Nchi pekee inayokata PAYE kwa watumishi wote pamoja na walimu lakini inakata tena take home za walimu kwa ajiri ya ujenzi wa maabara shule za kata. Only Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.