Mbona Tanzania hawakuenda kwa mahakama ya EAC kama Uganda walivyo enda huko kuwasilisha kesi ya kutumia Kenya Pipeline kusafirisha mafuta yao? Haya maamuzi yao ni ya hasira na kitoto kulipiza kisasi hivyo.
Cheo chake ni gani? Anataka vita vya nuclear anafikiria vita vya nuclear vitakuwa one sided? Russia pia wanasema wako na hypersonic weapons ambazo marekani haiwezi kugundua angani.
MCA watamkoromea gavana. Wabunbge na maseneta watamkoromea Rais. Maeneo bunge yote ni sawa, yako na idadadi sawa ya watu inchini. Ward pia ziko hivyo. Kaunti ndio tofauti kwa idadi ya watu na ukubwa lakini maseneta wako na kura sawa kwenye Seneti.
Kila kiongozi ako jukumu lake la kikatiba. Ukubwa hatuujali vile ikiwa unatekeleza majukumu yako.
Maseneta na Wabunge ni wawakilishi. Seneta anawakilisha county/gatuzi, mbunge anawakilisha eneo bunge. Gavana ni msimamizi mkuu mtendaji wa kaunti. Kunao pia MCAs wanawakilisha ward ambayo ni...
Washambuliaji wanne waliuawa kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa Kenya katika chuo kikuu cha Garissa ,lakini Rashid Charles Mberesero, na wenzake wawili walikamatwa na mwaka jana walihukumiwa kwa kuhusika katika ugaidi.
Hukumu hiyo ilimpa bwana Mberesero kifungo cha maisha gerezani.
Taarifa...
Amani sio utulivu tu. Tanzania tafuteni amani ya ukweli ya kudumu. Sio hii amani yenye mtu hawezi kutoka inje kusherekea ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi kwa sababu polisi atafikiria ni mfuasi wa kikundi cha kigaidi cha CHADEMA.
Inasikitisha kweli, vile hapa inaonekana Watanzania...
Hakuna cha kuiga hapo. Tutafuta mkondo mwengine sio huu wenyu. Huu wenyu haukuwa uchaguzi. Huyo Magufuli anataka kuishi echo chamber, sauti yake tu ndio anataka kusikia alafu ni wa kuzima mtandao. Anajua kuwa mtandao ni kitengo kikuu cha biashara siku hizi kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.