Kuna jamaa alikuaga chuo cha ufundi DSM (DIT) alikuwa akijulikana kama mzee wa mbunye ofisi yake ilikuwa ni kama danguro la kugegedea. Naye alihamia hiko chuo cha Arusha. Kwa haraka nilihisi ni yeye.
Kenya wako siriazi na mambo ya nchi yao. TZ kila kitu ni siasa. Hawawezi kufika popte kwa mikakati ya hovyo kiasi hicho. Watu wanaochagua watendaji kwa kuangalia sifa kuu kama ni mwnachama mtiifu?!
Pascal ni mnafiki na mchonganishi. Mtu objective calls spade a spade, siyo ki vile. mambo ya hila za kijingajinga ndiyo yaliyotufikisha hapa. Nchi tajiri lakini tu masikini. Werevu wapo lakini wanaongozwa na ujinga kwa nguvu ya siasa.
Kukosa BUSARA ni kitu kibaya sana. Mbona Raisi mstaafu Kikwete aliwahi kuitwa DHAIFU na hakukasirika wala kutoa povu bali alikaa kimya kama hakusikia? Mtu akikuita DHAIFU na wewe siyo dhaifu inauma kitu gani? Busara ya kawaida kabisa ni kupuuzilia mbali tu, sio kutoa POVU kiasi hiki.
Ni kweli kabisa, wengi wanaochaguliwa sisiem huwa hawana sifa na kupelekea wengi kukosa sifa za kuwa mawaziri. Hali hii inasababisha kuwe tena na teuzi kwa wabunge ili wawe mawaziri. Udhaifu huu huongeza gharama za uendeshaji wa serikali, mbali na udhaifu wa mhimili wa bunge
Pamoja na baadhi ya wanawake kijirahisi kwa kiasi kikubwa, wapo mabosi au wanaotumia nafasi zao vibaya. Mambo ya rushwa ya ngono ipo sana Chuo cha Ufundi Arusha. Rushwa ya ngono hapa si kwa wanafunzi tu bali inafanywa na mabosi kwa wafanyakaz wa jinsia ya kike, ili mambo yao yaende vizuri.
Uwezo wa mtu hauna uhusiano sana na kiwango cha kitaaluma. Uhuru Kenyatta wa Kenya ni Mr. lakini uwezo wake ni mara zaidi 100 ya Raisi wa Tanzania ambaye ni Dr.
Uwezo wa Lisu ni wa akina Mr. Obama, rais mstaafu wa marekani, Mandela au Nyerere, binadamu kama hawa ni hazina ya Taifa na Dunia...
Baadhi ya mambo yanayofanyika yanaonesha kama ni dhahiri shahiri kwamba nchi haina dira wala sera. Tutakwenda kwa kubahatisha na kutesa wananchi mpaka kiama. Ndicho ninachowez kusema. Kwa upande mwingine wanaotumia jeshi la wananchi kama jeshi la polisi, haifahamiki nia yao ni nini.
Yusuph Singo naye aligombea ubunge Same akashindwa kura ya maoni, kwa sasa ni Mkurugenzi wa michezo, Wizara ya Michezo na Habari. Naye alikuwa Mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi kinachoitwa THTU.
Nikisoma baadhi ya michango ya wachangiaji humu, nafurahi kuona kuwa kuna watu wenye ufahamu wa hali ya juu. Mambo mengine ni kama utani lakini yanafurahisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.